Posti hii inahusu zaidi dalili ambazo zinaweza kutokea iwapo Kuna upungufu wa homoni ya progesterone.
1. Kutokwa kwa mimba.
Kwanza kabisa Mama akiwa na upungufu wa homoni ya progesterone anaweza kutoka mimba kwa sababu homoni hii ni msaada mkubwa katika makuzi ya mimba kama homoni hii ni ndoo kutoka kwa mimba ni kugusa.
2.pre menstruation syndrome.
Hali hii inamkumba mwanamke wiki Moja Hadi mbili kabla ya kuona siku zake za mwezi Mama anakuwa na uchovu, miwasho sehemu za Siri, vipele vyekundu au vyeusi, pamoja na mabadiliko ya mood kama vile hasira au kuwa na furaha kupita kiasi.
3. Kuongezeka uzito kwa ghafla na kuwa na wasiwasi,Kuna kipindi ambapo Mama anaweza kuongezeka uzito kwa ghafla na kuwa na wasiwasi usio wa kawaida hali hii ni kwa sababu ya kuwepo kwa kiwango kidogo cha homoni ya progesterone.
4. Maumivu ya uvimbe kwenye maziwa,
Kuna wakati mwingine mama anakuwa na maumivu yanayoambatana na uvimbe pamoja kwenye matiti hali hii utokana kwa sababu ya kuwepo kwa kiwango kidogo cha homoni ya progesterone na kiwango kikubwa cha homoni ya estrogen.
5. Kupata kizungu zungu mara kwa mara.
Kwa kawaida Mama mwenye tatizo hili huwa anapatwa na kizungu zungu mara kwa mara kwa sababu ya kutokuwepo kwa usawia katika homoni ya progesterone kwa kiwango cha kutosha.
6. Vipele vyekundu na chunusi hasa usoni na ngozi kuwa na mafuta mengi na ya kuzidi kiasi .
7. Kuwepo kwa maumivu ya kichwa ya mara Kwa mara hasa kwa akina Mama wlio kwenye wakati wa kujifungua.
8. Kupoteza kumbukumbu na kuwepo kwa uzito wa kufikilia.
Kwa wakati mwingine mama anaweza kupoteza kumbukumbu mara kwa mara na kuwepo kwa uzito wa kufikilia mambo.
9. Kuwepo kwa ugumba.
Kwa sababu kazi ya homoni ya progesterone ni kusababisha uchevushaji wa mayai na pia kusaidia katika uzalishaji pamoja na kutungwa kwa mimba kwa hiyo homoni hii ikikosa inaweza kusababisha hali ikawa mbaya zaidi na Mama au dada kupata ugumba.
10. Pamoja na Daili tulizoziona si dalili zote utokea kwa sababu ya kukosa kwa homoni ya progesterone ni vizuri kabisa kupima au kuwaona wataalamu wa afya endapo umepatwa na tatizo hili hasa kutoka mimba au ugumba unaoendana na dalili kama tulivyoziona hapo juu.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUchungu wa uzazi hutokana na kubana nakuachia kwa misuli hii husababishwa kufunhuka kwa mlango wa tumbo la uzazi pamoja na shingo ya kizazi na kumuongezea mama uchungu wakati wa kujifungua(during labour) Pia kubana na kuachia huanza polepole wakati wa
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi njia ambazo zinaweza kutumika ili kuweza kutunza joto la mtoto mara tu anapozaliwa,tunajuwa wazi kuwa Mama anaweza kujifungulia sehemu yoyote ile kabla hajafika hospitalini kwa hiyo mtoto anapaswa kuwa na joto la mwili la kutosha i
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi huduma kwa mama ambaye mimba inataka kutoka, mimba za aina hiyo kwa kitaalamu huitwa inevitable pregnant ni lazima itoke tu hata kama kuna juhudi mbalimbali za wataalamu mimba hii utoka kabisa.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu mwanamke mwenye HIV akiwa mjamzito ama anaenyonyesha
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi mambo ya kuangalia kwa mtoto mdogo chini ya umri wa miaka mitano ili kuweza kuweka afya yake kwenye njia safi.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi vyakula ambavyo usaidia katika uzalishaji wa homoni ya testosterone.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi vyakula mbalimbali vya kuongeza tendo la ndoa, kwa kawaida kuna vyakula mbalimbali ambavyo watu ukitumia ili kuweza kuongeza tendo la ndoa vyakula hivyo ni kama tutakavyoona hapo baadaye
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dalili za mimba kutoka, hizi ni dalili ambazo ujitokeza kwa mimba zote ambazo utaka kutoka kama ifuatavyo.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi namna ya kuongea na Mama mjamzito ili kuweza kugundua tatizo lake na kutoa msaada pale penye uhitaji.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea kwa sababu ya kutumia mara kwa mara vidonge vya P2,
Soma Zaidi...