Dalili za za kuwepo kwa maambukizi chini ya kitovu
Posti hii inahusu zaidi dalili za kuonyesha kuwa Kuna maambukizi kwenye kitovu hasa hasa chini ya kitovu.
Dalili za kuwepo kwa maambukizi chini ya kitovu.
1. Kwanza kabisa dalili ya kwanza kuonyesha kuwa Kuna maambukizi chini ya kitovu ni kuwa maumivu yanaweza kuwa chini ya kitovu, Kati kati ya kitovu, kulia na kushoto kwa kitovu pia Kuna Yale yanayoweza kusambaa
2. Pia maumivu mengine chini ya kitovu uwapata wanawake wale wanaopenda kufanya mapenzi mara kwa mara na wanaume mbalimbali kwa mara nyingi.
3. Na pia Kuna maumivu ambayo uwapata wanawake wakiwa wameinama , wakati wa kunyanyua vitu vizito, wakati wa kucheka au kuvimba , na wengine wakati wamelala kifudifudi.
4. Baada ya kuona maumivu ya namna hii ni njia ya kuona wazi kwamba Kuna maambukizi chini ya kitovu na matibabu ni lazima.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 kitabu cha Simulizi 👉2 Madrasa kiganjani 👉3 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉4 Simulizi za Hadithi Audio 👉5 web hosting 👉6 Kitabu cha Afya
Post zinazofanana:
Maumivu ya tumbo kitovuni
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu maumivu ya tumbo kitovuni
Soma Zaidi...Maradhi ya macho
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu maradhi ya macho,dalili na matibabu yake
Soma Zaidi...Nini sababu ya kuchubuka midomo na kuwa myeupe
Kama una tatizo la midomo kuchubuka na kuwa myeupe ama kuwa na vidonda. Post hii inakwenda kuangalia swala hili.
Soma Zaidi...NAMNA YA KUGUNDUA VIDONDA VYA TUMBO
NAMNA YA KUGUNDUA VIDONDA VYA TUMBO Ili kugundua vidonda, daktari wako anaweza kwanza kuchukua historia ya matibabu na kufanya uchunguzi wa mwili.
Soma Zaidi...Vipimo vya VVU
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu vipimo mbalimbali vinavyotumika kupima VVU
Soma Zaidi...Ugonjwa wa Uharibifu wa seli nyekundu za damu
Posti hii inazungumzia kuhusiana na was Uharibifu wa seli nyekundu za damu ambapo hujulikana Kama Ugonjwa wa Hemolytic uremic (HUS) ni hali inayotokana na uharibifu usio wa kawaida wa seli nyekundu za damu mapema. Mara tu mchakato huu unapoanza, seli nye
Soma Zaidi...