Dawa ya quinenes katika kutibu Malaria

Post hii inahusu zaidi dawa e quinine katika kutibu Malaria ni dawa inayotibu Ugonjwa wa Malaria ikiwa dawa nyingine zimeshindwa kufanya kazi.

Kazi ya quinine Katika kutibu Malaria.

1.quinine ni dawa inayotumiwa kutibu malaria dawa hii utumika kutibu Malaria ikiwa mgonjwa vametumia dawa nyingine lakini hakufanikiwa kupona kwa hiyo dawa hii utumika kwa wagonjwa wa Aina hii, kwa hiyo ni dawa yenye nguvu kwa namna Moja au nyingine na inapotumika hutumiwa kwa tahadhari na kwa  uangalifu.

 

2. Dawa hii huwa kwenye mfumo wa vidonge na kwenye mfumo wa Maji maji ambapo dawa ambayo Iko kwenye mfumo wa Maji maji huweza kutumika kwa mgonjwa kwa kuchanganya kwenye drip kwa kipimo fulani na kwa uangalifu mkubwa, ikiwa quinine haijachanganywa na maji na mtu akitumia kupitia kwenye mishipa mgonjwa anaweza kupoteza maisha kwa hiyo dawa hii inabidi kutumiwa kwa uangalifu sana na kwa mtu anayeitoa uhakikisha kuwa inaenda vizuri, hii dawa uangaliwa kwa makini kwa Sababu Ina Tabia ya kumaliza sukari mwilini.

 

3.Dawa hii pia huwa na matokea au maudhi ambayo uweza kutokea kama vile kutapika kwa mgonjwa pale anapokuwa anatumia dawa, kizunguzungu utokea kwa kwa wagonjwa wakati mwingine mgonjwa uziba masikio kwa sababu ya dawa zile anazozitumia na pengine mgonjwa uona shida katika kuona kwa sababu hiyo anaanza kuhangaika wakati wa kuona , na kwa wagonjwa wengine wanashindwa kutulia kwenye sehemu Moja uhangaika sana kwa sababu ya maumivu wanayopata kutokana na dawa hii ya maumivu  kwa hiyo tuwe makini katika kuwahudumia.

 

4.kwa hiyo dawa hii ya quinine Ina nguvu sana haipaswi kutumiwa na watu ambao hawana shida maalumu kama vile allergies kwa dawa nyingine za malaria wanapaswa kutumia wale tu ambao wameitumia dawa nyingine za malaria na hawakupata nafuu na katika kutumia dawa nyingine za malaria kwa hiyo tunapaswa kuwa waangalifu katika kutumia dawa hii ya quinine  na watu wale wanaopungukiwa sukari mara kwa mara hawapaswi kutumia dawa hii au wakitumia waitumie kwa uangalifu mkubwa sana.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Dawa Main: Afya File: Download PDF Views 1987

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani    👉2 Bongolite - Game zone - Play free game    👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉4 kitabu cha Simulizi    👉5 Kitau cha Fiqh    👉6 Simulizi za Hadithi Audio   

Post zinazofanana:

Fahamu Dawa inayotumika kupunguza maumivu (ibuprofen)

Ibuprofen ni mojawapo ya dawa zinazotumiwa sana duniani kote! Ili kupunguza maumivu na kuvimba, agiza Ibuprofen leo na upate afya bora! Ni kiungo amilifu katika dawa za jina kama vile Motrin na zaidi. Ibuprofen pia inaweza kuuzwa kama: Advil Motrin,

Soma Zaidi...
Fahamu dawa ya haloperidol katika matibabu ya akili

Post hii inahusu dawa ya haloperidol katika matibabu ya magonjwa ya akili, ni mojawapo ya dawa ambayo utumiwa na wagonjwa ambao wamechananyikiwa.

Soma Zaidi...
Dawa ya chango na maumivu ya hedhi

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu dawa ya chango na maumivu ya hedhi

Soma Zaidi...
Dawa ya UTI

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dawa ya UTI

Soma Zaidi...
Matumizi ya dawa ya vidonda vya tumbo

Posti hii inahusu zaidi matumizi ya dawa za vidonda vya tumbo, ili kuweza kutumia dawa hizi ni vizuri kabisa kufuata mashariti kama ifuatavyo.

Soma Zaidi...
Kazi za Dawa ya Artesunate katika kutibu Malaria

Posti hii inahusu zaidi kazi za dawa ya Artesunate katika kutibu Malaria kali, ni dawa ambayo inatumika sana kutibu Malaria kali.

Soma Zaidi...
Dawa za mapunye

Somo Hili linakwenda kukuletea dawa za maounye

Soma Zaidi...
dawa ya kutibu infection kwenye kizazi nisaidie doctor

Je unasumbuliwa na maambukizi na mashambulizi ya virusi na bakteria kwenye sehemu za siri ama via vya uzazi?. Posti hii inakwenda kuupa ushauri.

Soma Zaidi...
Ijue dawa ya cephalosporin katika kupambana na bakteria

Post hii inahusu zaidi dawa ya cephalosporin katika kupambana na bakteria, ni mojawapo ya kundi kati ya makundi ya kupambana na bakteria ambalo ufanya Kazi kama penicillin.

Soma Zaidi...
Dawa ya fangasi na dalili za fangasi

hapa utajifunza dalili za fangasi, dawa ya fangasi na aina za fangasi, pia nitakujuza njia za kukabiliana na fangasi

Soma Zaidi...