Dawa ya quinenes katika kutibu Malaria
Post hii inahusu zaidi dawa e quinine katika kutibu Malaria ni dawa inayotibu Ugonjwa wa Malaria ikiwa dawa nyingine zimeshindwa kufanya kazi.
Kazi ya quinine Katika kutibu Malaria.
1.quinine ni dawa inayotumiwa kutibu malaria dawa hii utumika kutibu Malaria ikiwa mgonjwa vametumia dawa nyingine lakini hakufanikiwa kupona kwa hiyo dawa hii utumika kwa wagonjwa wa Aina hii, kwa hiyo ni dawa yenye nguvu kwa namna Moja au nyingine na inapotumika hutumiwa kwa tahadhari na kwa uangalifu.
2. Dawa hii huwa kwenye mfumo wa vidonge na kwenye mfumo wa Maji maji ambapo dawa ambayo Iko kwenye mfumo wa Maji maji huweza kutumika kwa mgonjwa kwa kuchanganya kwenye drip kwa kipimo fulani na kwa uangalifu mkubwa, ikiwa quinine haijachanganywa na maji na mtu akitumia kupitia kwenye mishipa mgonjwa anaweza kupoteza maisha kwa hiyo dawa hii inabidi kutumiwa kwa uangalifu sana na kwa mtu anayeitoa uhakikisha kuwa inaenda vizuri, hii dawa uangaliwa kwa makini kwa Sababu Ina Tabia ya kumaliza sukari mwilini.
3.Dawa hii pia huwa na matokea au maudhi ambayo uweza kutokea kama vile kutapika kwa mgonjwa pale anapokuwa anatumia dawa, kizunguzungu utokea kwa kwa wagonjwa wakati mwingine mgonjwa uziba masikio kwa sababu ya dawa zile anazozitumia na pengine mgonjwa uona shida katika kuona kwa sababu hiyo anaanza kuhangaika wakati wa kuona , na kwa wagonjwa wengine wanashindwa kutulia kwenye sehemu Moja uhangaika sana kwa sababu ya maumivu wanayopata kutokana na dawa hii ya maumivu kwa hiyo tuwe makini katika kuwahudumia.
4.kwa hiyo dawa hii ya quinine Ina nguvu sana haipaswi kutumiwa na watu ambao hawana shida maalumu kama vile allergies kwa dawa nyingine za malaria wanapaswa kutumia wale tu ambao wameitumia dawa nyingine za malaria na hawakupata nafuu na katika kutumia dawa nyingine za malaria kwa hiyo tunapaswa kuwa waangalifu katika kutumia dawa hii ya quinine na watu wale wanaopungukiwa sukari mara kwa mara hawapaswi kutumia dawa hii au wakitumia waitumie kwa uangalifu mkubwa sana.
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 ai web app 👉2 Madrasa kiganjani 👉3 Kitau cha Fiqh 👉4 Dua za Mitume na Manabii 👉5 Kitabu cha Afya 👉6 Simulizi za Hadithi Audio
Post zinazofanana:
Dawa za kutibu ugonjwa wa macho
Somo Hili linakwenda kukuletea dawa za kutibu ugonjwa wa macho
Soma Zaidi...Dawa ipi ya manjano kwa mtoto mwenye umri miaka miwili?
Ugonjwa wa manjano ni moja kati ya maradhibyanayosumbuwa ini. Ugonjwa huu unahitaji uangalizi wa haraka hospitali. Posti hii itakwenda kukujuza ninivufanyebendapobmtoto wako ana ugonjwa wa manjano.
Soma Zaidi...Ijue dawa ya sulphadoxine na pyrimethamine (sp)
Post hii inahusu zaidi dawa ya Sp , kirefu cha dawa hii ni sulphadoxine na pyrimethamine hii dawa ilitumika kutibu malaria kwa kipindi fulani lakini sasa hivi imebaki kutumiwa na wajawazito kama kinga ya kuwazuia kupata malaria.
Soma Zaidi...Fahamu aina ya penicillin ambayo ufanya kazi kwa mda mrefu
Post hii inahusu zaidi aina mojawapo ya dawa ya penicillin ambayo ufanya kazi kwa mda mrefu, dawa hii kwa kitaamu huiitwa procaine benzyl penicillin.
Soma Zaidi...Fahamu zaidi kuhusiana na Dawa ya Moyo DIGOXIN
Digoxin ni nini? Digoxin inatokana na majani ya mmea wa digitalis. Digoxin husaidia kufanya mapigo ya moyo kuwa na nguvu na kwa mdundo wa kawaida zaidi. Digoxin hutumiwa kutibu kushindwa kwa moyo. Digoxin pia hutumiwa kutibu mpapatiko wa atiria, ugonjw
Soma Zaidi...Fahamu dawa ya captopril katika matibabu ya magonjwa ya moyo
Post hii inahusu zaidi dawa ya captopril katika matibabu ya magonjwa ya moyo, ni dawa ambayo imo kwenye kundi la vasodilators na ufanya Kazi mbalimbali zinazousu magonjwa ya moyo.
Soma Zaidi...