Mtazamo wa uislamu juu ya ibada (EDK form 3: dhana ya elimu ya uislamu)
3. MTAZAMO WA UISLAMU JUU YA IBADA
3.1 Dhana ya Ibada kwa Mtazamo wa Uislamu.
- Ibada Ni neno la Kiarabu linalotokana na neno Abd lenye maana ya mtumwa au
Mtumishi.
Kumtumikia Allah (s.w) kikweli kweli ni kufanya kila analoliridhia Allah (s.w).
Kuzingatia na kufuata amri zake zote kwa kuchunga mipaka yake katika maisha ya kila siku.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Ukweli ni katika sifa za waumini. Siku zote hakuna hasara katika kusema ukweli. Kinyume chake uongo ni katika madhambi makubwa sana.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunz akuhusu nuzo 6 za imani ya uislamu na pia utajifunz akuhusu mafunzo yanayoweza kupatikana kwenye Nguzo hizi.
Soma Zaidi...Vipawa vya mwanaadamu ni sababu nyingine inayomfanya mwanaadamu asiweze kuishi bila ya kufuata dini moja au nyingine.
Soma Zaidi...Uislamu unaitazama dini katika nyanja zote za maisha ya mwanadamu. Hii ni tofauti na mtazamo wa kikafiri juu ya dini.
Soma Zaidi...βKatika kuumbwa mbingu na ardhi na mfuatano wa usiku na mchana,ziko alama (hoja) za kuonyesha kuwepo Allah (s.
Soma Zaidi...Tunajifunza katika Qur-an na hadithi sahihi kuwa Imani ya Kiislamu imejengwa juu ya nguzo sita zifuatazo:1 Kumuamini Allah (s.
Soma Zaidi...Njia ambazo Allah hutumia kuwasiliana na wanadamu nakuwafundisha elimu mbalimbali. (Edk form 1 dhana ya Elimu)
Soma Zaidi...Nguzo za imani (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...