Fahamu aina ya penicillin ambayo ufanya kazi kwa mda mrefu

Post hii inahusu zaidi aina mojawapo ya dawa ya penicillin ambayo ufanya kazi kwa mda mrefu, dawa hii kwa kitaamu huiitwa procaine benzyl penicillin.

Fahamu kuhusu dawa ya procaine benzyl penicillin.

1. Ni aina mojawapo ya dawa ya penicillin ambayo ufanya kazi kwa mda mrefu, kwa sababu yenyewe udili na bakteria ambao ushambulia mwili na kusababisha madhara ya mda mrefu na kwa hiyo ikiingia mwili inawezekana kukaa kwa masaa Ili kuweza kudili na bakteria ambao wameleta madhara ya mda mrefu.

 

2. Kwa kawaida dawa hii utumika kutibu maambukizi mbalimbali ya bakteria ambayo ujitokeza kwenye mwili wa binadamu na pia utumika kwa watu wazima na watoto kadri ya maagizo ya wataalamu wa afya na pia kwenye kundi hili Kuna dawa nyingine ambayo Kwa kitaamu huiitwa fortified procaine penicillin nayo ufanya kazi kama procaine benzyl penicillin.

 

3. Dawa hii kwa kawaida huwa kwenye mfumo wa unga na huwa kwenye ki chupa Fulani hivi na pia uchanganywa na maji maalumu kwa ajili ya dawa ambayo Kwa kitaamu huiitwa sterile water,na uchanganywa kwa pamoja , yaani dawa na maji na pia utikiswa kumhakikishia kuwa unga umachanganyika kabisa na maji .

 

4. Dose kwa mgonjwa utegemea mtoto na mtu mzima,uzito na umri wa mtu,na pia dawa hii inaweza kutolewa kwa kupigwa sindano kwenye mapaja au Tako, na kwa wakati mwingine uweza kupitia kwenye damu, kwa hiyo mchanganyiko wa kupitia kwenye paja au Tako ni tofauti na ule mchanganyiko wa kupitia kwenye mishipa ya damu.

 

5.  Dawa hii pia utumiwa na watu mbalimbali ila kwa wale wote wenye aleji na dawa ya penicillin hawapaswi kutumia dawa hii, kwa hiyo watatumia dawa nyingine kadri ya maagizo ya wataalamu wa afya.

 

6. Pia dawa hii Ina maudhi madogo madogo baada ya kuitumia, maudhi yenyewe ni kama maumivu kwenye jointi, unaweza kupata upungufu wa damu ukiitumia kwa mda mrefu, kwa hiyo wenye tatizo la upungufu wa damu wanapaswa kuitumia kwa taahadhari,pia dawa hazipaswi kutumiwa kiholela Bali ni kwa ushauri wa wataalamu wa afya.

 

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Dawa Main: Afya File: Download PDF Views 940

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉2 Kitau cha Fiqh    👉3 Bongolite - Game zone - Play free game    👉4 kitabu cha Simulizi    👉5 Simulizi za Hadithi Audio    👉6 Kitabu cha Afya   

Post zinazofanana:

Fahamu dawa ya aminophylline kutibi maambukizi kwenye mfumo wa upumuaji

Post hii inahusu zaidi dawa ya aminophylline katika kutuliza maambukizi kwenye mfumo wa upumuaji.

Soma Zaidi...
Dawa ya Rifampicin na kazi zake

Posti hii inahusu zaidi Dawa ya Rifampicin na kazi zake, hii ni dawa mojawapo inayotibu kifua kikuu kati ya Dawa zilizoteuliwa kutibu ugonjwa wa kifua kikuu.

Soma Zaidi...
Ijue dawa ya kutibu ugonjwa wa ukoma

Post hii inahusu zaidi dawa ya kutibu ukoma,na dawa hiyo ni dawa ya Dapsoni, hii dawa usaidia kuzuia nerve zisiendelee kupoteza kazi yake pia na ngozi iendelee kuwa kawaida

Soma Zaidi...
Fahamu matumizi ya Dawa iitwayo Aspirin.

Aspirini Ni dawa ya kutuliza maumivu.Majina yanayoaminika zaidi katika kutuliza maumivu sasa yanapatikana kwa njia mbadala inayookoa gharama kwa kutumia Aspirini. Aspirini inayopendwa na familia kwa miongo kadhaa, mara nyingi hutumiwa kupunguza maumivu y

Soma Zaidi...
Fahamu dawa ya sulfonamide dawa inayopambana na maambukizi ya bakteria mwilini.

Post hii inahusu zaidi dawa ya sulphonamide ni mojawapo ya dawa ambayo usaidia kutibu magonjwa mbalimbali yanayosababishwa na bakteria ni dawa au antibiotics ya mda mrefu na pia matumizi yake sio makubwa sana kwa sababu ya kuwepo kwa antibiotics zenye ngu

Soma Zaidi...
Fahamu dawa ya captopril katika matibabu ya magonjwa ya moyo

Post hii inahusu zaidi dawa ya captopril katika matibabu ya magonjwa ya moyo, ni dawa ambayo imo kwenye kundi la vasodilators na ufanya Kazi mbalimbali zinazousu magonjwa ya moyo.

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu dawa ya Theophylline katika kutibi mfumo wa upumuaji

Post hii inahusu zaidi dawa ya theophylline ni dawa inayofanya kazi kwenye mfumo wa upumuaji.

Soma Zaidi...
Fahamu matumizi ya Dawa iitwayo paracetamol.

Paracetamol kwa jina kingine hujulikana kama(acetaminophen) ni dawa ya kawaida ya kutuliza maumivu ambayo hutumiwa kupunguza aina mbalimbali za maumivu. Paracetamol ndilo jina linalojulikana zaidi katika kutuliza maumivu ya kawaida. Paracetamol inajulik

Soma Zaidi...
Fahamu dawa za kutibu mafua

Post hii inahusu dawa za kutibu mafua ambazo ni cough seppessants na nasal congestion ni dawa ambazo zimependekezwa kwa ajili ya kutibu mafua.

Soma Zaidi...