Fahamu ajali ambazo utokea kwenye kifua

Post hii inahusu Zaidi ajalia ambazo utokea kwenye kifua Kwa kitaalamu huitwa chest injury,Kwa kawaida kwenye kifua kua sehemu mbalimbali kama vile mapafu,moyo,koo na sehemu mbalimbali, sehemu hizi uweza kupata ajali na kusababisha madhara makubwa,Kwa hiy

Visababishi vya ajali kwenye kifua, ( chest injury).

1. Ajali mbambali zitokanazo na magari au pikipiki.

Kwa wakati mwingine,ajali za magari,piki piki au baskel na vifaa vya usafiri Kwa ujumla usababisha kuwepo Kwa ajali kwenye kifua,kutokana na ajali za vyombo vya usafiri , unaweza kuharibu sehemu ya moyo ,mapafu au koo inawezekana ikawa ya moja Kwa moja au sehemu zake,Kwa hiyo ni vizuri kabisa kuweza kugundua ni shehemu ipi ambayo imepata shida Zaidi kama ajali imetokea kwenye sehemu za kifua.

 

 

2. Kuanguka.

Kwa wakati mwingine mtu anaweza kuteleza akaanguka na kusababisha maumivu kwenye sehemu za kifua, inawezekana kuteleza, kuanguka kutoka kwenye mti meza au sehemu yoyote ile ambayo usababisha maumivu kwenye sehemu ya kifua,Kwa hiyo iwapo mtu ameanguka ni vizuri kabisa kuangalia sehemu ya kifua Kwa sababu ya kuwepo Kwa sehemu muhimu kama vile moyo na mapafu.

 

 

 

3. Kuwepo Kwa vitu vyenye ncha Kali kwenye kifua.

Kuna wakati mwingine kunakuwepo na vitu vyenye ncha Kali kwenye kifua ambavyo uingia moja Kwa moja kwenye kifua na kusababisha ajali sehemu ya kifua,na vitu hivyo ni kama risasi za bunduki zikiingia usababisha kuwepo Kwa ajali kwenye kifua au kulengwa Kwa mshale kwenye kifua,vitu hivyo ni hatari sana uweza kusababisha madhara au ajali kwenye sehemu za kifua.

 

 

 

4. Kwa hiyo Kwa sababu sehemu ya kifua ina vitu vingi na vya maana,ni vizuri kabisa kuweza kuwa makini ukiwa ajari imetokea na pia mtu akipata ajali kwenye sehemu za kifua ni vizuri kabisa kumpa mda aweze kutulia na kupumzika ili kuweza kugundua kama Kuna sehemu yoyote haiko sawa au Kwa wakati mwingine, mgonjwa anaweza kuwa anapumua vibaya au Kwa wakati mwingine anakuwa anahisi maumivu sehemu za kifua,Kwa hiyo matababu ya haraka ni lazima.

 

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: magonjwa Main: Afya File: Download PDF Views 686

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Simulizi za Hadithi Audio    👉2 Kitabu cha Afya    👉3 Kitau cha Fiqh    👉4 kitabu cha Simulizi    👉5 Bongolite - Game zone - Play free game    👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)   

Post zinazofanana:

DALILI ZA MINYOO: maumivu ya tumbo, kichwa, kuwashwa, kutapika damu, moyo kuumwa, ukuaji hafifu, udhaifu na kuchoka

DALILI ZA MINYOO Wakati mwingine ni vigumu sana kujua kama una minyoo, kwani minyoo wanaweza kukaa ndani ya mwili kwa muda mrefu bila ya kuonesha dalili yeyote, ama madhara yeyote.

Soma Zaidi...
MALARIA INATOKEAJE? (Namna ambavyo malaria inatokea, inaanza na inavyoathiri afya)

Kama tulivyokwisha kuona kuwa malaria inaweza kuambukizwa kwa kung'atwa na mbu aina ya anophelesi.

Soma Zaidi...
Fahamu Ugonjwa wa kifaduro kwa watoto chini ya miaka mitano

post hii inazungumzia kuhusiana na Ugonjwa wa kifaduro ambao hujulikana Kama Pertussis pia inajulikana kama kifaduro ni maambukizi ya bakteria ambayo huingia kwenye pua yako na koo.

Soma Zaidi...
Dalili za macho kuwa makavu

posti hii inaelezea kuhusiana na dalilili na Mambo ya hatari ya Macho makavu  hutokea wakati machozi yako hayawezi kutoa unyevu wa kutosha kwa macho yako. Machozi yanaweza kuwa duni kwa sababu nyingi. Kwa mfano, Macho makavu  yanaweza ku

Soma Zaidi...
Fahamu ugonjwa wa Varicose vein

Posti hii inahusu zaidi ugonjwa wa vericose veini, hili ni tatizo ambalo utokea katika mzunguko wa damu hasa kwenye miguu.

Soma Zaidi...
Namna ya Kuzuia Mtoto mwenye kifua kikuu (TB).

posti hii inazungumzia kuhusiana na Ugonjwa wa kifua kikuu kwa watoto chini ya miaka mitano. Kifua kikuu ni ugonjwa sugu wa kuambukiza na anuwai ya magonjwa ya kliniki yanayosababishwa na Mycobacterium tuberculosis complex.

Soma Zaidi...
Dalili za Kiharusi Cha joto la mwili.

Kiharusi cha joto ni hali inayosababishwa na joto la juu la mwili wako, kwa kawaida kama matokeo ya kufichuliwa kwa muda mrefu au bidii ya mwili katika joto la juu. Aina hii mbaya zaidi ya jeraha la joto, kiharusi cha joto kinaweza kutokea ikiwa joto

Soma Zaidi...
VIRUSI VYA KORONA AU CORONA (CORONAVIRUS)

Virusi vya korona ni katika aina za virusi ambavyo asili yake ni kutoka kwa wanyama na kuja kwa binadamu.

Soma Zaidi...
Dalili za ngozi kuwasha.

Posti hii inaonyesha kiufupi kabisa kuhusiana na dalili za ngozi kuwashwa.

Soma Zaidi...
Dalili za kipindupindu na njia za kujilinda na kipindupindu.

Post hii inazungumzia zaidi kuhusiana na ugonjwa wa kipindupindu.kipindupindu ni ugonjwa unaosababishwa na mdudu ambaye kwa kitaalamu anaitwa vibrio cholera.mdudu huyu hushambulia utumbo mdogo na kusababisha madhara mengi.

Soma Zaidi...