Post hii inahusu zaidi dawa ya hydralazine katika matibabu ya magonjwa ya moyo, dawa hii imetoka kwenye kundi la vasodilators, na pia usaidia sana kwenye matibabu ya magonjwa ya moyo.
Fahamu dawa ya hydralazine katika matibabu ya magonjwa ya moyo,
1.kama tulivyoona hapo mwanzoni kwamba dawa hii imetoka kwenye kundi la vasodilators, hii dawa ya hydralazine usaidia katika magonjwa ya presha hasa kama mishipa ya damu inapitisha damu kwa shida kwa hiyo kazi yake ni kurainisha mishipa ya damu Ili iweze kuruhusu dama iweze kupita kwa urahisi kwenye mishipa ya damu kwa hiyo kwa matumizi ya dawa hii watu wengi wameweza kupona na kirudia kwenye hali yao ya Kawaida au wengine ambao wanatumia dawa hii kama sehemu ya matibabu yao ya kila siku dawa hii imeweza kuleta uafadhari.
2. Pia dawa hii na yenyewe Ina maudhi madogo madogo ambayo utokea hasa kwa watumiaji na maudhi hayo utegemea mtu na mtu hasa uwasumbua sana wale wanaoanza matibabu, maudhi madogo madogo hayo ni Kama vile maumivu ya kichwa,na pia kwa sababu dawa hii uweza kurainisha mishipa ya damu na kuruhusu dama kwenda sehemu mbalimbali za mwili Kuna Kipindi mgonjwa anaweza kuonekana amechoka sana na pengine presha kupanda kabisa kwa sababu ya matumizi ya dawa hii ya hydralazine.
3. Vile vile dawa hii Inaweza kuleta kichefuchefu kwa mgonjwa na hatimaye kutapika , maumivu ya tumbo, kuharisha na pengine mwili kuwa na viupele kwa wagonjwa walio wachache wameriport kitendo cha kuvimba mwili hasa kwa wanaoanza kutumia dawa na wakizoea hali uendelea kama kawaida, pamoja na kuona maudhi hayo madogo madogo kama yakitokea kwa mda mfupi na kuisha hapo basi lakini kama yakiendelea na kuleta matatizo kwa mgonjwa ni vizuri kabisa kutoa taarifa kwa wataalamu wa afya Ili kuweza kubadilishiwaa dawa au kwa ushauri zaidi.
4. Pamoja na kufahamu kazi hii ya dawa ya hydralazine sio Vizuri kuitumia dawa hii kiholela Bali ni kwa utaratibu wa wataalamu wa afya,na pia dawa hii inatumika na watu mbalimbali isipokuwa wale we ye presha ya kupanda wanapaswa kutumia dawa hii kwa kuomba ushauri wa wataalamu wa afya.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Nitakujuza dalili za UTI na dawa za kutibu UTI. Pia tutaona njia za kujikinga na UTI pamoja na dalili za UTI
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa za Doxorubicin and Daunorubicin katika kupambana na kansa.
Soma Zaidi...Dawa za vidonda vya tumbo na tiba zake zinapatikana hapa. Soma makala hii kwa ufanisi
Soma Zaidi...PoPosti hii inahusu zaidi vyakula ambavyo unaweza kutumia iwapo umepata tatizo la kiungulia
Soma Zaidi...Diazepam ni nini? Diazepam ni Dawa ambayo Huathiri kemikali kwenye ubongo ambazo zinaweza kukosa uwiano na kusababisha wasiwasi. Diazepam hutumiwa kutibu matatizo ya wasiwasi, dalili za kuacha pombe, au misuli. Diazepam wakati mwingine hutumiwa pamoja n
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea tiba mbadala za vidonda vya tumbo
Soma Zaidi...Digoxin ni nini? Digoxin inatokana na majani ya mmea wa digitalis. Digoxin husaidia kufanya mapigo ya moyo kuwa na nguvu na kwa mdundo wa kawaida zaidi. Digoxin hutumiwa kutibu kushindwa kwa moyo. Digoxin pia hutumiwa kutibu mpapatiko wa atiria, ugonjw
Soma Zaidi...Ugonjwa wa manjano ni moja kati ya maradhibyanayosumbuwa ini. Ugonjwa huu unahitaji uangalizi wa haraka hospitali. Posti hii itakwenda kukujuza ninivufanyebendapobmtoto wako ana ugonjwa wa manjano.
Soma Zaidi...Fangasi wanaweza kushambulia uke, kwa juu kwenye mashhav ya uke ama kwa ndani. Hali hii inaweza kusababisha miwasho na maumivu pia. Inaweza kusababisha michubuko na kutofurahia tendo la ndoa. Makala hii inakwenda kukujuza dawa na matibabu ya fangasi ukeni
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi kazi za dawa ya Artesunate katika kutibu Malaria kali, ni dawa ambayo inatumika sana kutibu Malaria kali.
Soma Zaidi...