image

Fahamu dawa ya hydralazine katika matibabu ya magonjwa ya moyo

Post hii inahusu zaidi dawa ya hydralazine katika matibabu ya magonjwa ya moyo, dawa hii imetoka kwenye kundi la vasodilators, na pia usaidia sana kwenye matibabu ya magonjwa ya moyo.

Fahamu dawa ya hydralazine katika matibabu ya magonjwa ya moyo,

1.kama tulivyoona hapo mwanzoni kwamba dawa hii imetoka kwenye kundi la vasodilators, hii dawa ya hydralazine usaidia katika magonjwa ya presha hasa kama mishipa ya damu inapitisha damu kwa shida kwa hiyo kazi yake ni kurainisha mishipa ya damu Ili iweze kuruhusu dama iweze kupita kwa urahisi kwenye mishipa ya damu kwa hiyo kwa matumizi ya dawa hii watu wengi wameweza kupona na kirudia kwenye hali yao ya Kawaida au wengine ambao wanatumia dawa hii kama sehemu ya matibabu yao ya kila siku dawa hii imeweza kuleta uafadhari.

 

2. Pia dawa hii na yenyewe Ina maudhi madogo madogo ambayo utokea hasa kwa watumiaji na maudhi hayo utegemea mtu na mtu hasa uwasumbua sana wale wanaoanza matibabu, maudhi madogo madogo hayo ni Kama vile maumivu ya kichwa,na pia kwa sababu dawa hii uweza kurainisha mishipa ya damu na kuruhusu dama kwenda sehemu mbalimbali za mwili Kuna Kipindi mgonjwa anaweza kuonekana amechoka sana na pengine presha kupanda kabisa kwa sababu ya matumizi ya dawa hii ya hydralazine.

 

3. Vile vile dawa hii Inaweza kuleta kichefuchefu kwa mgonjwa na hatimaye kutapika , maumivu ya tumbo, kuharisha na pengine mwili kuwa na viupele kwa wagonjwa walio wachache wameriport kitendo cha kuvimba mwili hasa kwa wanaoanza kutumia dawa na wakizoea hali uendelea kama kawaida, pamoja na kuona maudhi hayo madogo madogo kama yakitokea kwa mda mfupi na kuisha hapo basi lakini kama yakiendelea na kuleta matatizo kwa mgonjwa ni vizuri kabisa kutoa taarifa kwa wataalamu wa afya Ili kuweza kubadilishiwaa dawa au kwa ushauri zaidi.

 

4. Pamoja na kufahamu kazi hii ya dawa ya hydralazine sio Vizuri kuitumia dawa hii kiholela Bali ni kwa utaratibu wa wataalamu wa afya,na pia dawa hii inatumika na watu mbalimbali isipokuwa wale we ye presha ya kupanda wanapaswa kutumia dawa hii kwa kuomba ushauri wa wataalamu wa afya.





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 870


Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi     👉2 Madrasa kiganjani     👉3 Kitabu cha Afya     👉4 Kitau cha Fiqh    

Post zifazofanana:-

Fahamu kuhusu dawa ya mucolytic dawa ya kutibu kikohozi
Post hii inahusu zaidi dawa ya mucolytic katika kutibu kikohozi kwa watu wazima na watoto. Soma Zaidi...

Fahamu aina ya penicillin ambayo ufanya kazi kwa mda mrefu
Post hii inahusu zaidi aina mojawapo ya dawa ya penicillin ambayo ufanya kazi kwa mda mrefu, dawa hii kwa kitaamu huiitwa procaine benzyl penicillin. Soma Zaidi...

Fahamu dawa ya diazepam katika kutuliza kifafa
Post hii inahusu zaidi dawa ya diazepam katika kutuliza kifafa, ni dawa ambayo matumizi yake yanaweza kuingilia pote kwenye kutuliza kifafa na pia kwa wagonjwa wa akili. Soma Zaidi...

Dawa za maumivu ya jino
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu dawa za maumivu ya jino Soma Zaidi...

Dawa ipi ya manjano kwa mtoto mwenye umri miaka miwili?
Ugonjwa wa manjano ni moja kati ya maradhibyanayosumbuwa ini. Ugonjwa huu unahitaji uangalizi wa haraka hospitali. Posti hii itakwenda kukujuza ninivufanyebendapobmtoto wako ana ugonjwa wa manjano. Soma Zaidi...

Dawa ya kutibu mapunye
DAWA YA MAPUNYEMatibabu ya mapunye inategemea ni wapi mapunjye yapo. Soma Zaidi...

DAWA YA FANGASI
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dawa za fangasi Soma Zaidi...

Ushauri kabla ya kubeba mimba.
Posti hii inahusu zaidi ushauri kwa akina Mama na wachumba kabla ya kubeba mimba, kabisa ya kubeba mimba akina Mama na wachumba wanapaswa kufanya yafuatayo. Soma Zaidi...

Fahamu dawa za kisukari
Post hii inahusu zaidi dawa za kisukari, kwa sababu ya kuwepo kwa ugonjwa wa kisukari vilevile kuna dawa zake ambazo utumika kurekebisha sukari kama imepanda au kushuka. Soma Zaidi...

Madhara ya Tiba mionzi
Post hii inahusu zaidi madhara ya Tiba mionzi kwa wagonjwa wa saratani, ni madhara yanayotokea kwa wagonjwa wanaotumia mionzi katika matibabu ya saratani. Soma Zaidi...

Vyakula vya wanga
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za vyakula vya wanga Soma Zaidi...

Kazi ya Dawa ya salbutamol
Posti hii inahusu dawa ya salbutamol na kazi yake ya kutibu ugonjwa wa Asthma, ni dawa mojawapo ambayo imetumia na watu wengi na wamefanikiwa kwa kiwango kikubwa, kwa hiyo zifuatazo ni kazi ya Dawa hii ya salbutamol katika kutibu Asthma. Soma Zaidi...