FAHAMU DAWA YA KUTIBU MAUMIVU YA MGONGO (BACK NONE PAIN) NA KIUNO


image


Fahamu dawa ya back bone pain kwa matibabu ya mgongo, ni mojawapo ya dawa ambayo imependekezwa kutuliza maumivu ya mgongo.


Fahamu dawa ya kutibu au kutuliza maumivu ya mgongo.

1. Post hii inahusu dawa ya kutibu au kutuliza maumivu ya mgongo na kiuno , dawa hii kwa kitaamu huiitwa back bone pain, kwa kawaida siku hizi Kuna matatizo mengi ya maumivu ya mgongo pia na kiuno, ni kwa sababu mbalimbali ambazo usababisha kuwepo kwa maumivu ya mgongo na sababu ni kama zifuatazo. Matumizi mabaya ya mto hasa wakati wa kulala, .atumizi mabaya ya godoro au kutumia godoro lisilo na sifa hasa Yale yanayobonyea na kufanya mgongo kukaa umeinama na pole pole kusababisha maumivu ya mgongo.

 

2. Pia kubeba vitu vizito na yenyewe ni sababu mojawapo ya maumivu ya mgongo, kwa hiyo ni vizuri kabisa kuachana na sababu ambazo usababisha maumivu ya mgongo, kwa hiyo pamoja na kuwepo kwa maudhi ya mgongo Kuna dawa maalumu ambayo imewasaidia wengi na mimi ni mojawapo, dawa hii inaitwa backbone paini, hii dawa matumizi yake ni pale unapoamka asubuhi unapaka kwenye maumivu kuanzia kwenye kiuno mpaka sehemu mbalimbali zenye maumivu na unaweza kupaka mara tatu kwa siku, na ukizingatia matumizi mazuri maumivu upona.

 

3. Pia dawa hii ya back bone pain inapaswa kutumiwa kwenye sehemu za nje tu yaani kwenye ngozi sio ndani yamwili maana inaweza kuleta matatizo ikitumiwa kwenye mdomo,pia au kuingia ndani ya mwili ni kwa ajili ya nje tu, pia dawa hii inaweza kuleta maudhi madogo madogo kwa watumiaji na maudhi hayo ni pamoja na kuwepo kwa viupele na miwasho kwenye ngozi, haya maudhi yanaweza kuondoka kadri mtumiaji anavyotumia dawa ,kwa hiyo hali ikiwa mbaya ni vizuri kuwaona wataalamu wa afya.

 

4. Vile vile dawa hii haiitumiki kiholela inapaswa kutumiwa kulingana na wataalamu wa afya kwa sababu maelekezo mbalimbali utolewa kwa watumiaji na pia sio kuwekwa karibu na watoto kwa hiyo iwekwe sehemu nzuri na inayoeleweka.



Sponsored Posts


  ðŸ‘‰    1 Hadiythi za alif lela u lela       ðŸ‘‰    2 Mafunzo ya html kwa kiswahili       ðŸ‘‰    3 Maktaba ya vitabu       ðŸ‘‰    4 Magonjwa na afya       ðŸ‘‰    5 Jifunze fiqh       ðŸ‘‰    6 Madrasa kiganjani    


Je! una maswali, mapendekezo ama maoni? tuma ujumbe wa meseji SMS hapo chini ili kuunganishwa na muhusika au bofya hapa

SMS SMS



Post Nyingine


image Fahamu dawa ya kutibu maumivu ya mgongo (back none pain) na kiuno
Fahamu dawa ya back bone pain kwa matibabu ya mgongo, ni mojawapo ya dawa ambayo imependekezwa kutuliza maumivu ya mgongo. Soma Zaidi...

image Fahamu kuhusu dawa ya propranolol ambayo hutibu magonjwa ya moyo
Post hii inahusu zaidi dawa ya propranolol katika matibabu ya magonjwa ya moyo, dawa hii ipo kwenye kundi la beta blockers na ufanya Kazi mbalimbali hasa kwa wagonjwa wa moyo. Soma Zaidi...

image Ifahamu dawa ya kupunguza maumivu
Post hii inahusu dawa ya aspirin katika kupunguza maumivu,ni dawa ambayo upunguz maumivu ya Kawaida, kushusha homa na pia usaidia kwenye magonjwa ya moyo hasa kuzuia stroke kama imetokea mda ndani ya masaa ishilini na manne Soma Zaidi...

image Fahamu dawa za kutuliza kifafa inayoitwa phenobarbital
Post hii inahusu dawa za kutuliza kifafa, zipo dawa mbalimbali za kutuliza kifafa Leo tutaona dawa mojawapo inayoitwa phenobarbital katika kutuliza kifafa. Soma Zaidi...

image Fahamu kuhusu dawa ya Acetohexamide
Post hii inahusu zaidi dawa ya Acetohexamide kwa matibabu ya sukari, kama tulivyoona katika post iliyopita kwamba kuna kipindi ambacho kongosho linatoa insulini lakini seli haziko tayari kupokea hiyo insulini. Soma Zaidi...

image Dawa ya kutibu ugonjwa wa PID
PID ni mashambulizi ya bakteria kwenye mfumo wa uzazi kwa wanawake. Hapa nitakujulisha dawa Soma Zaidi...

image Dalili za kifua kikuu kwa watoto.
Posti hii inahusu zaidi dalili za kifua kikuu kwa watoto,ni Dalili ambazo ujitokeza kwa watoto pindi wanapopata Maambukizi ya kifua kikuu. Soma Zaidi...

image Ifahamu dawa ya isoniazid katika kupambana na ugonjwa wa TB
Post hii inahusu zaidi dawa ya isoniazid katika mapambano na kifua kikuu, tunafahamu kabisa kwamba kifua kikuu ni hatari katika jamii kwa hiyo dawa ya isoniazid ni mkombozi katika mapambano na kifua kikuu. Soma Zaidi...

image Fahamu zaidi kuhusiana na Dawa ya Moyo DIGOXIN
Digoxin ni nini? Digoxin inatokana na majani ya mmea wa digitalis. Digoxin husaidia kufanya mapigo ya moyo kuwa na nguvu na kwa mdundo wa kawaida zaidi. Digoxin hutumiwa kutibu kushindwa kwa moyo. Digoxin pia hutumiwa kutibu mpapatiko wa atiria, ugonjwa wa mdundo wa moyo wa atiria (vyumba vya juu vya moyo vinavyoruhusu damu kutiririka ndani ya moyo). Soma Zaidi...

image Fahamu zaidi kuhusiana na Dawa inayotibu shinikizo la damu. iitwayo LASIX
Lasix (Furosemide) iko katika kundi la dawa zinazoitwa vidonge vya maji (loop diuretics) vidonge vya maji. Lasix hutumiwa kupunguza uvimbe mwilini unaosababishwa na kushindwa kwa moyo, ugonjwa wa ini, au ugonjwa wa figo. Kwa matibabu ya dalili nyingi.Lasix pia inaweza kuuzwa kama: Frusemide Soma Zaidi...