Fahamu Faida za Uzazi wa mpango
Posti hii inazungumzia kuhusiana na Faida za Uzazi wa mpango. Uzazi wa mpango ni huduma ambazo hutoa chaguo kwa familia kuwa na idadi ya watoto wanaotaka katika muda maalum, wanahisi na mbinu iliyoamuliwa.
Faida za Uzazi wa Mpango
Faida za Uzazi wa mpango zimegawanyika katika makundi manne ambayo Ni kwa watoto, kwa mama, kwa wanandoa na kwa jumuiya
Faida za Uzazi wa mpango Kwa Watoto
1. Watoto Kupata upendo kutoka kwa wazazi.
2. Hupata muda wa kutosha wa kunyonya
3. Watoto wanaweza kupata nafasi ya kuelimishwa na wazazi.
4. Kiwango cha vifo vya watoto wachanga/watoto hupunguzwa kwa Muda kati ya ujauzito.
Faida za Uzazi wa mpango Kwa Mama Ni pamoja na;
1. Mama atakuwa na afya kwa sababu anapata muda mwingin wa kupumzika baada ya ujauzito uliopita.
2. Kupunguza idadi ya mimba zisizotarajiwa.
3. Kupunguza idadi ya magonjwa ya uzazi, kiwango cha vifo.
4. Mama anapata muda mwingin na nafasi kwaajili ya kufanya shughuli nyingine.
Faida za Uzazi wa mpango Kwa Jumuiya Ni pamoja na;.
1. Familia ndogo inaongoza kwa uhifadhi wa maliasili na huduma.
2. Familia ndogo husaidia taifa kuwa na shule za kutosha, hospitali na huduma zingine za kimsingi.
3. Familia ndogo huzuia ukosefu wa ajira usio wa lazima.
4. Shughuli ndogo zilizopangwa polepole huleta furaha, maelewano ya amani na ustawi
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
π1 Kitau cha Fiqh π2 Dua za Mitume na Manabii π3 Bongolite - Game zone - Play free game π4 kitabu cha Simulizi π5 web hosting π6 Madrasa kiganjani
Post zinazofanana:
je ute wa uzazi uanza kuonekana siku ya 14 tu au kabla ? Na je mimba ya siku tatu inaweza kucheza?
Miongoni mwa dalili zamwanzo za ujauzito ni maumivu ya tumbo ama kupatwa na damu kidogo. Mabadiliko ya ute ute sehemu za siri ni katika baadhi ya dalili. Endelea na makala hii utajifunza zaidi.
Soma Zaidi...SABABU ZA KUTOKA KWA MIMBA (sababu za kuharibika kwa ujauzito)
Tafiti zinaonesha kuwa karibia asilimia 10% mpaka 25% ya wanawake wanaopata ujauzito, mimba zao hutoka.
Soma Zaidi...Mimi nilipima na kipimo mwenyewe nkakuta mistari miwili iliokoza lkn nikifanya tendo nakua naumia sana tatizo ni Nini docta
Je anapatwa maumivu Γ°ΕΈΛΒ makali wakati wa tendo la ndoa ama ukiwa katika hedhi? Soma makala hii hadi mwisho
Soma Zaidi...Njia za kuzuia mimba zisiharibike.
Posti hii inahusu zaidi njia mbalimbali ambazo zinaweza kutumika ili kuweza kuzuia mimba zisiharibike, kwa sababu kila mama anayebeba mimba anategemea kupata mtoto kwa hiyo na sisi hamu yetu ni kuhakikisha kwamba mtoto anazaliwa kwa kuzuia mimba kuharibik
Soma Zaidi...Njia za uzazi wa mpango kwa akina Mama kuanzia miezi sita baada ya kujifungua mpaka mwaka mmoja
Posti hii inahusu zaidi njia za uzazi wa mpango kwa mama aliyejifungua kuanzia miezi sita mpaka mwaka mmoja.
Soma Zaidi...Faida za uzazi wa mpango kwa jamii
Posti hii inahusu zaidi faida za uzazi wa mpango kwa jamii, tunapaswa kujua kuwa uzazi wa mpango ukitumiwa vizuri na jamii nayo inapata faida kwa hiyo zifuatazo ni faida za uzazi wa mpango kwa jamii.
Soma Zaidi...