Post hii inahusu zaidi dawa ya Albendazole ni mojawapo ya dawa ambazo usaidia kutibu minyoo, na pia imefanikiwa sana kadri ya watumiaji wa dawa hiyo.
1. Dawa ya Albendazole ni mojawapo ya dawa ambayo imechaguliwa kutibu minyoo aina ya ascrarisisi, hookworm, maambukizi yatokanayo na minyoo,strongyloidiasis,trichuria,anterobiasisi na trichostrongyloidiasi hayo ni majina ya kitaalamu yanayotumika kuitwa na minyoo ambayo utibiwa na dawa ya Albendazole,
2. Kwa kawaida dawa hizi uwekwa kwenye tumbo lililowazi ili kama wadudu wapo waweze kuuawa vizuri bila kujificha kwenye chakula na pia ushauliwa kutumiwa wakati wa asubuhi kabla mtu hajala chakula chochote na kwa kawaida dawa hizo utafunwa na pia kumezwa bila maji na baadae mtu anaweza kula chakula.
3. Pia dawa hii huwa na maudhui madogo madogo ambayo ujitokeza baada ya kutumia dawa na maudhui hayo yakizidi ni vizuri kumwona daktari au mtaalamu wa mambo ya afya, na maudhui hayo ni kama kiungulia,kuharisha, maumivu ya kichwa, kichefuchefu na kutapika, kizunguzungu kwa hiyo kwa watumiaji wa dawa za Albendazole baada ya kuona dalili kama hizo ni matokeo ya dawa.
4. Kwa kawaida dawa hizi hazitumiki kwa watu wote, wengine wanaweza kutumia ila akina Mama wenye mimba changa na wajawazito hawapaswi kutumia na watoto chini ya miaka miwili hawapaswi kutumia dawa hii kwa sababu ya matokeo yake kwao kama mimba kutoka kwa wanawake wenye mimba changa na watoto wadogo wako kwenye hatari ya kupata ugonjwa wa degedege.
5. Kwa hiyo katika kutumia dawa hiii ni vizuri kabisa kufuata utaratibu wa wataalamu wa afya sio kutumia kiholela kwa sababu madhara yake yanaweza kuwa makubwa zaidi ikiwa dawa hii inatumika visivyo kwa hiyo ni lazima kuwaona wataalamu wa afya kabla ya kutumia dawa hizi.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Post hii inahusu zaidi dawa ya Prednisone ambayo usaidia katika kupambana na aleji.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya hydralazine katika matibabu ya magonjwa ya moyo, dawa hii imetoka kwenye kundi la vasodilators, na pia usaidia sana kwenye matibabu ya magonjwa ya moyo.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi dawa ya amoxline .jinsi inavyofanya kazi mwilini.pamoja na matumizi yake.
Soma Zaidi...Ukiwa mjamzito uwe makini sana katika kuchagua matumizi ya dawa. Vinginevyobinawwza kuwa hatari. Hapa nitakujuza dawa ambazo ni hatari kutumia kwa ujauzito wako.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ibuprofen katika kutuliza maumivu, ni aina mojawapo ya dawa na yenyewe ufanya kazi kama aspirin na paracetamol
Soma Zaidi...kama unasumbuliwa na fangasi uumeni, nitakujuza dawa yake, sababu za fangasi uumeni, matibabu yake na njia za kuwaepuka
Soma Zaidi...MWISHO Mwisho tunapenda kusema kuwa unapohisi una minyoo kutokana na dalili ambazo tumezitaja humu, nenda kituo cha afya ukapate ushauri zaidi.
Soma Zaidi...Fahamu dawa ya back bone pain kwa matibabu ya mgongo, ni mojawapo ya dawa ambayo imependekezwa kutuliza maumivu ya mgongo.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya epinephrine kwa kutuliza aleji ni dawa ambayo imependekezwa kutuliza aleji kama dawa ya hydrocortisone, Prednisone hazipo au zimeshindwa kufanya kazi.
Soma Zaidi...