image

Fahamu kuhusu dawa ya Albendazole

Post hii inahusu zaidi dawa ya Albendazole ni mojawapo ya dawa ambazo usaidia kutibu minyoo, na pia imefanikiwa sana kadri ya watumiaji wa dawa hiyo.

Fahamu kuhusu dawa ya Albendazole .

1. Dawa ya Albendazole ni mojawapo ya dawa ambayo imechaguliwa kutibu minyoo aina ya ascrarisisi, hookworm, maambukizi yatokanayo na minyoo,strongyloidiasis,trichuria,anterobiasisi na trichostrongyloidiasi hayo ni majina ya kitaalamu yanayotumika kuitwa na minyoo ambayo utibiwa na dawa ya Albendazole,

 

2. Kwa kawaida dawa hizi uwekwa kwenye tumbo lililowazi  ili kama wadudu wapo waweze kuuawa vizuri bila kujificha kwenye chakula na pia ushauliwa kutumiwa wakati wa asubuhi kabla mtu hajala chakula chochote na kwa kawaida dawa hizo utafunwa na pia kumezwa bila maji na baadae mtu anaweza kula chakula.

 

3. Pia  dawa hii huwa na maudhui madogo madogo ambayo ujitokeza baada ya kutumia dawa na maudhui hayo yakizidi ni vizuri kumwona daktari au mtaalamu wa mambo ya afya, na maudhui hayo ni kama kiungulia,kuharisha, maumivu ya kichwa, kichefuchefu na kutapika, kizunguzungu kwa hiyo kwa watumiaji wa dawa za Albendazole baada ya kuona dalili kama hizo ni matokeo ya dawa.

 

4. Kwa kawaida dawa hizi hazitumiki kwa watu wote, wengine wanaweza kutumia ila akina Mama wenye mimba changa na wajawazito hawapaswi kutumia na watoto chini ya miaka miwili hawapaswi kutumia dawa hii kwa sababu ya matokeo yake kwao kama mimba kutoka kwa wanawake wenye mimba changa na watoto wadogo wako kwenye hatari ya kupata ugonjwa wa degedege.

 

5. Kwa hiyo katika kutumia dawa hiii ni vizuri kabisa kufuata utaratibu wa wataalamu wa afya sio kutumia kiholela kwa sababu madhara yake yanaweza kuwa makubwa zaidi ikiwa dawa hii inatumika visivyo kwa hiyo ni lazima kuwaona wataalamu wa afya kabla ya kutumia dawa hizi.





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 2440


Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi     👉2 Kitabu cha Afya     👉3 Kitau cha Fiqh     👉4 Madrasa kiganjani    

Post zifazofanana:-

Imani potofu kuhusu madawa ya hospitalini
Post hii inahusu zaidi imani potofu kuhusu madawa yanayotolewa hospitalini, ni imani waliyonayo Watu hasa Watu wa bi vijijini na hata wa mjini nao wameanza kutumia madawa ya miti shamba kwa wingi. Soma Zaidi...

Fahamu kuhusu dawa ya Theophylline katika kutibi mfumo wa upumuaji
Post hii inahusu zaidi dawa ya theophylline ni dawa inayofanya kazi kwenye mfumo wa upumuaji. Soma Zaidi...

Dawa ipi ya manjano kwa mtoto mwenye umri miaka miwili?
Ugonjwa wa manjano ni moja kati ya maradhibyanayosumbuwa ini. Ugonjwa huu unahitaji uangalizi wa haraka hospitali. Posti hii itakwenda kukujuza ninivufanyebendapobmtoto wako ana ugonjwa wa manjano. Soma Zaidi...

Dawa za fangasi ukeni
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dawa za fangasi ukeni Soma Zaidi...

Fahamu matumizi ya Dawa iitwayo paracetamol.
Paracetamol kwa jina kingine hujulikana kama(acetaminophen) ni dawa ya kawaida ya kutuliza maumivu ambayo hutumiwa kupunguza aina mbalimbali za maumivu. Paracetamol ndilo jina linalojulikana zaidi katika kutuliza maumivu ya kawaida. Paracetamol inajulik Soma Zaidi...

Fahamu dawa za 5-fluorouracil,Tegafur na uracili
Post hii inahusu zaidi dawa za 5-fluorouracil, Tegafur na uracili katika kupambana na kansa. Soma Zaidi...

Vyakula vya wanga
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za vyakula vya wanga Soma Zaidi...

Dawa ya fluconazole kama dawa ya fangasi
Post hii inahusu zaidi dawa za fangasi na matumizi yake kwa kutumia dawa ya fluconazole kama dawa mojawapo ya fangasi. Soma Zaidi...

Dawa ya chango na maumivu ya hedhi
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dawa ya chango na dawa ya maumivu ya hedhi Soma Zaidi...

Fahamu dawa ambazo uchangia kupungua kwa nguvu za kiume
Post hii inahusu zaidi dawa mbalimbali ambazo uchangia katika kupunguza nguvu za kiume , hii ni kwa sababu ya wataalamu mbalimbali wanavyosema Soma Zaidi...

Ifahamu dawa ya furosemide.
Post hii inahusu zaidi dawa ya furosemide ni mojawapo ya dawa ambayo ipo kwenye kundi la diuretics na kwa jina linguine huitwa lasix Soma Zaidi...

Fahamu dawa ya kuzuia enzymes zinazotengenezwa na bakteria
Post hii inahusu zaidi dawa ya cloxacillin ambayo Iko kwenye kundi mojawapo la penicillin ambalo uzuia enzymes zinazotengenezwa na bakteria. Soma Zaidi...