Post hii inahusu zaidi dawa ya macrolide ni mojawapo ya dawa ya kutibu au kupambana na bakteria na upambana na bakteria wafuatao streptococcus pyogenes, staphylococcus aureus na haihusiki na haemophilia influenza ambao usababisha maambukizi kwenye mfumo w
1. Dawa hii ya macrolide ni dawa ambayo Ina dawa nyingine ndani yake kama vile azithromycin, erythromycin na clarithromysin ambazo kwa pamoja upambana na bakteria ambao tumeweza kuwaona hapo juu.
2. Dawa hii kwa sababu ya mkusanyiko wa dawa zaidi ya Moja kwa hiyo usaidia kwenye matibabu ya maambukizi ya bakteria ndani ya sikio, kwenye miwasho na viupele vya mwilini, pia utibu kikohozi, usaidia kwenye minyoo ya tumboni ambayo Kwa kitaamu huiitwa intestinal ameobiasis, kwenye maambukizi ya kwenye mlango wa kizazi kwa kitaamu huiitwa pelvic inflammatory diseases, pia usaidia kwenye matibabu ya kaswende na kisonono.
3. Pia dawa hizi mara nyingi huwa kwenye mfumo wa vidonge kwa hiyo zinapotumiwa uenda Moja kwa moja kwenye mmengenyo wa chakula na pia kuingia kwenye mzunguko wa damu na hatimaye kuingia kwenye sehemu mbalimbali ambapo Kuna bakteria na kuanza mashambulizi na pia dawa hizi zinaweza kuingia kwenye maji maji ambayo yapo kwenye ubongo na kweye mfumo wa fahamu kwa kitaamu huiitwa central nerve system na pia dawa zinaweza kuingia kwenye plasenta au kondo la nyuma na kuweza kuuua bakteria walioma ndani.
4. Dawa hii ya macrolide haipaswi kutumiwa na watu wenye aleji na dawa hiyo na pia dawa hizi hazipaswi kutumiwa kabisa na watu wenye magonjwa ya ini na pia zitumiwe kwa uangalifu kwa wenye matatizo ya Figo, mimba changa na wale watumiaji wa pombe Kali wanapotumia dawa hizi wanapaswa kuacha kutumia kabisa pombe. Kwa wale wenye mimba changa dawa hizi zinaweza kutoa mimba,na kwa wale wagonjwa wa ini dawa hizi uwezo wa kuongeza sumu upo mkubwa mno na pia kwa wale wenye tatizo la Figo ni vizuri kunywa maji mengi endapo watatumia dawa hizi.
5. Vile vile dawa hizi zina matokeo mbalimbali kama vile kichefuchefu na kutapika maumivu ya tumbo na kichwa na pengine maupeke na miwasho.
Pia dawa hizi zinapaswa kutumika kwa uwepo wa uangalizi wa wa wataalamu wa afya sio kutumia dawa hii kiholela to.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowJe umeipenda post hii ?
Post hii inahusu zaidi imani potofu kuhusu madawa yanayotolewa hospitalini, ni imani waliyonayo Watu hasa Watu wa bi vijijini na hata wa mjini nao wameanza kutumia madawa ya miti shamba kwa wingi.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya ampicillin, ni mojawapo ya dawa za kutibu maambukizi ya bakteria kwenye mwili wa binadamu ba pia ni dawa ambayo IPO kwenye kundi la penicillin kundi hili kwa kitaa huitwa broad spectrum penicillin
Soma Zaidi...Unapotaka kufanyiwa baadhi ya matibabu unatakiwa kupewa ganzi ama nusu kaput ili kulifanyia usihisi maumivu. Dawa hizi zinajulikana na Anesthesia.
Soma Zaidi...Fangasi wanaweza kushambulia uke, kwa juu kwenye mashhav ya uke ama kwa ndani. Hali hii inaweza kusababisha miwasho na maumivu pia. Inaweza kusababisha michubuko na kutofurahia tendo la ndoa. Makala hii inakwenda kukujuza dawa na matibabu ya fangasi ukeni
Soma Zaidi...Lasix (Furosemide) iko katika kundi la dawa zinazoitwa vidonge vya maji (loop diuretics) vidonge vya maji. Lasix hutumiwa kupunguza uvimbe mwilini unaosababishwa na kushindwa kwa moyo, ugonjwa wa ini, au ugonjwa wa figo. Kwa matibabu ya dalili nyingi.La
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukuletea dawa za kutibu ugonjwa wa macho
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu dawa za vidonda vya tumbo
Soma Zaidi...MWISHO Mwisho tunapenda kusema kuwa unapohisi una minyoo kutokana na dalili ambazo tumezitaja humu, nenda kituo cha afya ukapate ushauri zaidi.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea dawa ya kuzuia kuathirika kwa watu walio hatarini kupata VVU
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi aina mojawapo ya dawa ya penicillin ambayo ufanya kazi kwa mda mrefu, dawa hii kwa kitaamu huiitwa procaine benzyl penicillin.
Soma Zaidi...