picha

Fahamu kuhusu dawa ya mucolytic dawa ya kutibu kikohozi

Post hii inahusu zaidi dawa ya mucolytic katika kutibu kikohozi kwa watu wazima na watoto.

Fahamu dawa ya mucolytic katika matibabu ya kikohozi.

1. Dawa ya mucolytic ni mojawapo ya dawa ambayo imependekezwa katika matibabu ya kikohozi ni dawa ambayo utumiwa na watu wengi na imeweza kuleta matokeo makubwa kwa watumiaji, dawa hii ufanya kazi ya kutenganisha vikohozi vilivyokusanyana na kuvifanya viwe virahini na kuzibua sehemu mbalimbali ambazo zimezibwa na vikohozi hivyo kwa kufanya hivyo vikohozi uweza kuwa raini na hata mgonjwa akikohoa hawezi kutumia zaidi.

 

2.Na vile vile kama kuna mikusanyiko mbalimbali ya uchafu kwenye sehemu ya mfumo wa hewa uweza kutenganisha uchafu huo na hali huwa kawaida na pia mgonjwa anaweza kutoa uchafu huo kwa kukohoa bila matatizo zaidi kwa sababu ni mwepesi dawa hizi inawezekana kupitishwa mdomoni na kufanya kazi kupitia kwenye mzunguko wa damu na kuleta matokeo mazuri.

 

3. Pia wakati ematumizi ya dawa hizi ya mucolytic kuna maudhi madogo madogo ambayo ujitokeza nayo ni kama kichefuchefu na kutapika,na pia kufanya sehemu za kwenye mfumo wa hewa kulegea kwa mda na pia mgonjwa kuishiwa nguvu baada ya kuzitumia na pia mgonjwa kuhisi kizunguzungu na kuchoka ,kwa hiyo mgonjwa akisikia hayo hapaswi kujiuliza bali anapaswa kufahamu kwamba ni matokeo ya dawa.

 

4. Vile vile dawa hizi uweza kutumiwa na watu mbalimbali ila kwa wale wenye matatizo ya pumu na presha ya kupanda wanapaswa kutumia dawa hizi kwa uangalifu kwa sababu iwapo dawa hizi zinatumika na pia mgonjwa wa pumu akijisikia vibaya na akatumia dawa za pumu pamoja na hizi za kikohozi anaweza kusababisha mapafu kupanuka zaidi na kuleta madhara makubwa zaidi kuliko kama tulivyotegemea, basi katika matumizi ya dawa hizi ni vizuri kabisa kuongea na wataalamu wa afya.

 

5. Kwa sababu hii ni dawa ya kikohozi na zipo madukani kwa wingi kwa hiyo hatupaswi kuzitumia kiholela bali tuzingatie ushauri wa madaktari na wataalamu wengine wa afya.

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Dawa Main: Post File: Download PDF Views 4106

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh     👉2 web hosting     👉3 Simulizi za Hadithi Audio     👉4 Dua za Mitume na Manabii     👉5 kitabu cha Simulizi     👉6 Madrasa kiganjani    

Post zinazofanana:

Dawa ya ALU kama Dawa inayotibu Ugonjwa wa Malaria

Posti hii inahusu zaidi dawa ya ALU kama Dawa inayotibu Ugonjwa wa Malaria ,ni dawa ambayo utumiwa na watu wengi kwa matibabu ya ugonjwa wa Malaria.

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu dawa ya griseofulvin

Post hii inahusu zaidi dawa ya griseofulvin ni dawa inayotumika kutibu fangasi za kwenye ngozi ambazo usababisha mabaka mabaka kwenye ngozi.

Soma Zaidi...
Vyakula vya wanga

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za vyakula vya wanga

Soma Zaidi...
dawa ya minyoo, dalili za minyoo na sababu na vyanzo vya minyoo

MWISHO Mwisho tunapenda kusema kuwa unapohisi una minyoo kutokana na dalili ambazo tumezitaja humu, nenda kituo cha afya ukapate ushauri zaidi.

Soma Zaidi...
Matumizi ya dawa ya vidonda vya tumbo

Posti hii inahusu zaidi matumizi ya dawa za vidonda vya tumbo, ili kuweza kutumia dawa hizi ni vizuri kabisa kufuata mashariti kama ifuatavyo.

Soma Zaidi...
Fahamu dawa za kutibu mafua

Post hii inahusu dawa za kutibu mafua ambazo ni cough seppessants na nasal congestion ni dawa ambazo zimependekezwa kwa ajili ya kutibu mafua.

Soma Zaidi...