image

Fahamu kuhusu dawa ya Nystatin

Post hii inahusu zaidi dawa ya Nystatin ni mojawapo ya dawa ambayo utumika kwenye ngozi.

Fahamu kuhusu dawa ya Nystatin .

1. Ni mojawapo ya dawa inayotumika kutibu fungasi za kwenye ngozi tu, pia iko kwenye mfumo wa mafuta mafuta hivi, au oil, cream kwa hiyo upakwa kwa mafuta.ni vizuri kabisa kutumiwa kwenye ngozi tu ikitumia kwa namna nyingine ni hatari kwa hiyo ni vizuri kuwaambia watumiaji kwamba  makini katika kutumia dawa hii kwa sababu ikitumiwa vinginevyo tofauti na kwenye ngozi ni hatari sana.

 

2.pia dawa hii haiwezi kumengenywa kama dawa nyingine ambazo umengenywa kwenye mfumo wa chakula ndio maana ni hatari sana ikitumika kwenye system ya chakula, pia dawa hii usaidia kwenye kandida za sehemu mbalimbali kwa mfano dawa hii inaweza kutibu kandida ya kwenye sehemu za siri kwa kupaka dawa hiyo kwenye sehemu za siri.

 

3. Namna ya kutumia dawa hizi, unanawa mikono kwanza ili kuepuka kuingiza wadudu kwenye dawa , unakuwa tayari umeshasafisha sehemu ambayo unataka kupaka dawa hiyo ,unakaushaa sehemu hiyo vizuri kwa kitambaa kizuri,unapaka dawa yako kadri ya maelekezo ya wataalamu wa afya, kama ni sehemu za siri ni vizuri kabisa kutumia dawa hiyo wakati wa kupumzika au wakati wa usiku ili kuruhusu dawa ifanye kazi yake vizuri.

 

4. Pengine anayetumia dawa ni mgonjwa ambaye hajiwezi ni vizuri kabisa kumpaka au pengine ni mtoto ambaye hawezi kujihudumia mwenyewe ni vizuri kumpaka na kuzingatia kwamba hakuna kusambaza ugonjwa kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine, pia kabla ya kutumia dawa nyingine baada ya kujipaka ni vizuri kabisa kuoga dawa ile ya kwanza na hakikisha unazingatia usafi katika matumizi ya dawa hii.

 

5. Katika matumizi ya dawa hii zingatia kwamba dawa hii utumika kwenye ngozi ya nje tu na ikitumiwa kwa njia yoyote ni hatari kwa afya kwa hiyo ni vizuri kabisa kuweka dawa hii mbali na watoto ili kuepuka hatari ya kutumia dawa hii kama mafuta au pengine wanaweza Kulamba au kula na mambo kama hayo, kwa hiyo ni vizuri kabisa kutumia dawa hizi kwa ushauri wa wataalamu wa afya kwa sababu bila ushauri wao matumizi mengine yanaweza kuwa sio sahihi.





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 942


Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani     👉2 kitabu cha Simulizi     👉3 Kitabu cha Afya     👉4 Kitau cha Fiqh    

Post zifazofanana:-

Dawa ya quinenes katika kutibu Malaria
Post hii inahusu zaidi dawa e quinine katika kutibu Malaria ni dawa inayotibu Ugonjwa wa Malaria ikiwa dawa nyingine zimeshindwa kufanya kazi. Soma Zaidi...

Fahamu kuhusu dawa ya Theophylline katika kutibi mfumo wa upumuaji
Post hii inahusu zaidi dawa ya theophylline ni dawa inayofanya kazi kwenye mfumo wa upumuaji. Soma Zaidi...

Fahamu zaidi kuhusiana na Dawa inayotibu shinikizo la damu. iitwayo LASIX
Lasix (Furosemide) iko katika kundi la dawa zinazoitwa vidonge vya maji (loop diuretics) vidonge vya maji. Lasix hutumiwa kupunguza uvimbe mwilini unaosababishwa na kushindwa kwa moyo, ugonjwa wa ini, au ugonjwa wa figo. Kwa matibabu ya dalili nyingi.La Soma Zaidi...

Dawa ya kutibu macho
Hizi ndio dawa za macho yenye ukavu, kuwasha ama kutoa machozi Soma Zaidi...

Umuhimu wa kutumia dawa za ARV
Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa kutumia dawa za ARV kwa wathirika wa virusi vya ukimwi .pia tutangalia kwa undani mambo ya kuzingatia kwa wathirika wanaotumia ARV .pamoja na kujali watu wanaotumia dawa hizo . Soma Zaidi...

Faida za vidonge vya antroextra
Posti hii inahusu zaidi faida za vidonge vya antroextra, ni vidonge kwa ajili ya mifupa, viungo na gegedu, hivi vidonge vimetumiwa na watu wengi na matokeo yake ni mazuri sana, kwa hiyo zifuatazo ni faida za vidonge hivi. Soma Zaidi...

Nani anapaswa kutumia vidonge vya zamiconal.
Posti hii inahusu zaidi watu ambao wana uwezo wa kutumia vidonge vya zamiconal, ni baadhi ya watu au makundi yanayoweza kutumia vidonge hivi. Soma Zaidi...

Fahamu Dawa itwayo Diazepam
Diazepam ni nini? Diazepam ni Dawa ambayo Huathiri kemikali kwenye ubongo ambazo zinaweza kukosa uwiano na kusababisha wasiwasi. Diazepam hutumiwa kutibu matatizo ya wasiwasi, dalili za kuacha pombe, au misuli. Diazepam wakati mwingine hutumiwa pamoja n Soma Zaidi...

Kazi ya Dawa ya salbutamol
Posti hii inahusu dawa ya salbutamol na kazi yake ya kutibu ugonjwa wa Asthma, ni dawa mojawapo ambayo imetumia na watu wengi na wamefanikiwa kwa kiwango kikubwa, kwa hiyo zifuatazo ni kazi ya Dawa hii ya salbutamol katika kutibu Asthma. Soma Zaidi...

Dawa ya fangasi ukeni
Makala hii itakueleza dawa ya kutibu fangasi wa ukeni Soma Zaidi...

Namna ya kutumia tiba ya jino.
Posti hii inahusu zaidi namna au njia ya kufanya Ili kuweza kutumia tiba hii ya jino, kwa sababu ya mchanganyiko ambao umekwisha kuwepo kwa hiyo unachumua mchanganyiko unafanya kama ifuatavyo. Soma Zaidi...

Chini ya Tumbo langu Kuna uchungu lakini si sana shinda ni ni?
Nini kinasababisha maumivu ya tumbo chini ya kitovu? Soma Zaidi...