image

Fahamu kuhusu dawa ya Theophylline katika kutibi mfumo wa upumuaji

Post hii inahusu zaidi dawa ya theophylline ni dawa inayofanya kazi kwenye mfumo wa upumuaji.

Fahamu dawa ya Theophylline katika kusaidia kwenye mfumo wa upumuaji 

1. Dawa ya Theophylline ni mojawapo ya dawa ambayo ufanya kazi kwenye mfumo wa upumuaji hasa kwa wagonjwa ambao wanabanwa , kwa hiyo dawa hii usaidia hasa kwa watu wenye asthma, ufanya kazi hiyo kwa kulegeza sehemu za mfumo wa upumuaji na hewaa uweza kupitia kwa urahisi na  mgonjwa uweza kuendelea vizuri na afya njema.

 

2. Dawa hii kwa kawaida huwa kwenye mfumo wa vidonge na nyingine upitia kwenye mishipa ya damu na ikipitia kwenye damu inapaswa kwenda pole kwa mda walau wa dakika ishilini na pia inawezekana kupitia kwenye matako au kwenye paja ila ikitolewa kwa mtindo huo usababisha kuwepo kwa viupele sehemu hizo ndio maana mara nyingi utolewa kama vidonge na kupitia kwenye damu .

 

3. Pia dawa hii kwenye matumizi huwa na maudhi madogo madogo kama vile kutapika na kichefuchefu, kizunguzungu, maumivu makali ya kichwa, mapigo ya moyo kwenda mbio, maumivu kwenye misuli, pia sukari inawezekana kupanda.

 

4. Dawa hii huwa na milligrams kuanzia mia Moja mpaka mia tatu na dozi utolewa kulingana na umri na uzito hii ni dozi ya mfumo wa vidonge. Na pia milligrams huwa tofauti kwa wale wanaotumia dawa kupitia kwenye mishipa ya damu, dozi uanzia milligrams mia mbili hamsini mpaka miatano kwa watu wazima na kwa watoto uanzia mia ishilini na tano mpaka mia mbili hamsini na Tano.

 

5. Kwa hiyo dawa hii inapaswa kutumiwa kulingana na wataalamu wa afya na isitumiwe kiholela au kwa mazoea kwa sababu inawezekana kuwepo kwa matatizo kwa baadhi ya watumiaji.





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 849


Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani     👉2 Kitabu cha Afya     👉3 kitabu cha Simulizi     👉4 Kitau cha Fiqh    

Post zifazofanana:-

Dawa ya fluconazole kama dawa ya fangasi
Post hii inahusu zaidi dawa za fangasi na matumizi yake kwa kutumia dawa ya fluconazole kama dawa mojawapo ya fangasi. Soma Zaidi...

Ifahamu dawa ya kupunguza maumivu
Post hii inahusu dawa ya aspirin katika kupunguza maumivu,ni dawa ambayo upunguz maumivu ya Kawaida, kushusha homa na pia usaidia kwenye magonjwa ya moyo hasa kuzuia stroke kama imetokea mda ndani ya masaa ishilini na manne Soma Zaidi...

Fahamu dawa zinazotumika kwenye matibabu ya kansa
Post hii inahusu zaidi dawa ambazo zinatumika kwenye matibabu ya kansa, dawa hizi usaidia kuharibu seli ambazo ambazo hazistahili kwa kitaalamu huitwa malignant seli. Soma Zaidi...

Namna ya kutumia tiba ya jino.
Posti hii inahusu zaidi namna au njia ya kufanya Ili kuweza kutumia tiba hii ya jino, kwa sababu ya mchanganyiko ambao umekwisha kuwepo kwa hiyo unachumua mchanganyiko unafanya kama ifuatavyo. Soma Zaidi...

Matibabu ya ugonjwa wa uti wa mgongo
Posti hii inahusu zaidi matibabu kwa mgonjwa wa uti wa mgongo, kwa kawaida tunajua kuwa homa hii ya uti wa mgongo usababisha na wadudu mbalimbali kama vile bakteria, virus, fungasi, sumu mbalimbali kama vile madini ya lead na arseni, na vitu kama vile Mag Soma Zaidi...

Ni dawa gani hatari kwa mjamzito?
Ukiwa mjamzito uwe makini sana katika kuchagua matumizi ya dawa. Vinginevyobinawwza kuwa hatari. Hapa nitakujuza dawa ambazo ni hatari kutumia kwa ujauzito wako. Soma Zaidi...

Ijue Dawa ya lignocaine
Posti hii inahusu zaidi dawa ya lignocaine kama mojawapo ya Dawa ambayo utumika wakati wa upasuaji. Soma Zaidi...

Dawa ya Isoniazid na kazi zake
Posti hii inahusu zaidi dawa ya lsoniazid nA kazi zake, ni dawa ambayo inasaidia kutibu kifua kikuu kati ya madawa yaliyoteuliwa na kuwa na sifa ya kutibu kifua kikuu. Soma Zaidi...

Dawa ya kutibu fangasi wa kwenye mdomo na kinywa
Zipo dawa nyingi ambazo hufahamika katika kutibu fangasi kwenye mdomo ama kinywa. Miongoni mwa dawa hizo hapa nitakuletea baadhi yao. kama wewe pia unasumbuliwa na fangasi wa mdomo basi post hii itakusaidi sana. Soma Zaidi...

Matibabu ya macho
Somo Hili linakwenda kukuletea matibabu ya macho Soma Zaidi...

Penicillin dawa ya kutibu maambukizi ya bakteria mwilini
Post hii Inahusu zaidi dawa za kutibu maambukizi yoyote Yale yanayosababishwa na bakteria dawa hizi kwa kitaamu huiitwa antibiotics Kuna dawa mbalimbali zinazotibu maambukizi ya bakteria leo tutaanza na dawa ambayo inaitwa penicillin. Soma Zaidi...

Fahamu kuhusu kundi la diuretics
Post hii inahusu zaidi kundi la diuretics,ni kundi mojawapo kati ya makundi ya dawa zinazosaidia katika matibabu ya magonjwa ya moyo. Soma Zaidi...