image

Fahamu kuhusu dawa za Doxorubicin na Daunorubicin

Post hii inahusu zaidi dawa za Doxorubicin and Daunorubicin katika kupambana na kansa.

Post hii inahusu zaidi dawa za Doxorubicin, Daunorubicin katika kupambana na kansa.

1. Hizi ni dawa ambazo zimo kwenye kundi la antitumor antibiotics ,ni dawa ambazo zinatokana na material kutoka kwenye fungi wanaotokana na udongo ufanya kazi kwa kuingilia kazi za seli kwa kuzuia kuendelea kwa kazi ya nuclear ambayo kwa kitaalamu huitwa DNA na pia dawa hizi uingilia  protein ya DNA kwa kufanya hivyo seli ambazo hazihiitajiki kuzuiliwa kuendelea kukua na kuongezeka kwenye mwili.

 

2. Dawa hizi pia usaidia kwenye matibabu ya kansa ya damu, kansa ya kwenye tumbo, kansa ya ngozi na pia kansa kwenye milango ya fahamu yaani kwenye macho, pua na sehemu mbalimbali na pia usaidia usaidia kwenye kupambana na kansa ambazo usababisha uvimbe.

 

3. Kwa matumizi ya dawa hizi uweza kuleta pia maudhui madogo madogo kama vile kupungua kwa kiwango cha seli mwilini,kwa sababu dawa hizi zinapokuwa zinapambana na seli ambazo hazihiitajiki usababisha kuua na seli nyingine ambazo ziko nzima hali inayosababisha kupungua kwa seli mwilini, kwa hiyo matunzo kwa mgonjwa huyu ni ya muhimu kama vile ulaji wa mlo kamili,matunda na mbogamboga za majani.

 

4. Pia na maudhui mengine ni kama vile kuwepo kwa vidonda kwenye midomo, mabadiliko ya ngozi yaani kuwepo kwa upele na kwa upande wa kichwani nywele uanza kunyonyoka na pia kuna wagonjwa ambao wanaweza kuwa na choo kigumu, pengine kichefuchefu na kuharisha. Kama maudhi madogo madogo yanafanya hali ya mgonjwa kuwa mbaya ni vizuri kabisa kubadilisha dawa ili mgonjwa awe na hali ya kawaida.

 

5. Kwa hiyo dawa hizi hazitumiki kiholela bali ni kwa maagizo ya wataalamu wa kwa sababu matokeo ya dawa hizi mengine ni makali yanahitaji uangalizi.





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 683


Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani     👉2 Kitau cha Fiqh     👉3 kitabu cha Simulizi     👉4 Kitabu cha Afya    

Post zifazofanana:-

Dawa ya Isoniazid na kazi zake
Posti hii inahusu zaidi dawa ya lsoniazid nA kazi zake, ni dawa ambayo inasaidia kutibu kifua kikuu kati ya madawa yaliyoteuliwa na kuwa na sifa ya kutibu kifua kikuu. Soma Zaidi...

Fahamu dawa zinazotumika kwenye matibabu ya kansa
Post hii inahusu zaidi dawa ambazo zinatumika kwenye matibabu ya kansa, dawa hizi usaidia kuharibu seli ambazo ambazo hazistahili kwa kitaalamu huitwa malignant seli. Soma Zaidi...

Fahamu dawa za kutibu mafua
Post hii inahusu dawa za kutibu mafua ambazo ni cough seppessants na nasal congestion ni dawa ambazo zimependekezwa kwa ajili ya kutibu mafua. Soma Zaidi...

Ifahamu dawa ya kupunguza maumivu
Post hii inahusu dawa ya aspirin katika kupunguza maumivu,ni dawa ambayo upunguz maumivu ya Kawaida, kushusha homa na pia usaidia kwenye magonjwa ya moyo hasa kuzuia stroke kama imetokea mda ndani ya masaa ishilini na manne Soma Zaidi...

Dawa ipi ya manjano kwa mtoto mwenye umri miaka miwili?
Ugonjwa wa manjano ni moja kati ya maradhibyanayosumbuwa ini. Ugonjwa huu unahitaji uangalizi wa haraka hospitali. Posti hii itakwenda kukujuza ninivufanyebendapobmtoto wako ana ugonjwa wa manjano. Soma Zaidi...

Vyakula vya kusaidia katika matibabu ya kiungulia
PoPosti hii inahusu zaidi vyakula ambavyo unaweza kutumia iwapo umepata tatizo la kiungulia Soma Zaidi...

Dawa mbadala za vidonda vya tumbo
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dawa mbadala za vidonda vya tumbo Soma Zaidi...

Dawa ya kutibu fangasi wa kwenye mdomo na kinywa
Zipo dawa nyingi ambazo hufahamika katika kutibu fangasi kwenye mdomo ama kinywa. Miongoni mwa dawa hizo hapa nitakuletea baadhi yao. kama wewe pia unasumbuliwa na fangasi wa mdomo basi post hii itakusaidi sana. Soma Zaidi...

Kazi ya Dawa ya salbutamol
Posti hii inahusu dawa ya salbutamol na kazi yake ya kutibu ugonjwa wa Asthma, ni dawa mojawapo ambayo imetumia na watu wengi na wamefanikiwa kwa kiwango kikubwa, kwa hiyo zifuatazo ni kazi ya Dawa hii ya salbutamol katika kutibu Asthma. Soma Zaidi...

Penicillin dawa ya kutibu maambukizi ya bakteria mwilini
Post hii Inahusu zaidi dawa za kutibu maambukizi yoyote Yale yanayosababishwa na bakteria dawa hizi kwa kitaamu huiitwa antibiotics Kuna dawa mbalimbali zinazotibu maambukizi ya bakteria leo tutaanza na dawa ambayo inaitwa penicillin. Soma Zaidi...

Miungurumo haiishi tumboni nikishika upande wa kushoto wa tumbo kuna maumivu kwa mbali je mm nitumie dawa gan kuondoa tatizo hilo
Kukawa na gesi tumboni kunaweza kuwa ni dalili ya shida kwenye afya, hasa katika mfumo wa chakula. Hali itakuwa sio nzuri endapo utakosea hamu ya kula na kuhisivkushiba muda wowote. Soma Zaidi...

Dawa ya Panadol au paracetamol katika kutuliza maumivu
Posti hii inahusu zaidi kazi ya paracetamol katika kutuliza maumivu, ni Aina ya dawa ambayo utumiwa sana katika kutuliza maumivu kwa wagonjwa. Soma Zaidi...