image

Fahamu kuhusu fangasi za ukeni

Posti hii inahusu zaidi fangasi za ukeni, hili ni tatizo kubwa ambalo linawakumba watoto, akina dada na wanawake kwa hiyo na vizuri kujua Dalili zake na kuweza kuchukua hatua mapema.

Fangasi za ukeni

1. Dalili ya kwanza ya kuwepo kwa fangasi za ukeni ni kukojoa mara kwa mara, kwa kawaida tunajua wazi ili mtu akojoe ni lazima awe amekunywa kimiminika chochote,ila kuna kipindi mtu anakojoa mara kwa mara bila kunywa chochote cha zaidi.

 

2. Mkojo kuwa na harufu mbaya.

Kwa kawaida mkojo huwa na harufu yake ya kawaida ila kuna kipindi mkojo unakuwa na harufu mbaya sana, kwa hiyo ni vizuri kuangalia tatizo mapema.

 

3. Maumivu ya misuli ya tumbo hasa chini ya kitovu.kuna wakati mwingine tumbo linauma hasa kitovuni ingawa inaweza kuwa ni Dalili ya magonjwa mbalimbali lakini ni vizuri kufanya uangalizi.

 

4. Maumivu ya kiuno.

Kwa sababu ya kusambaa kwa fangasi mara nyingi kunakuwepo na maumivu ya kiuno kwa hiyo ni vizuri kuangalia mapema ili kuweza kufahamu tatizo ni nini.

 

5. Kuwepo kwa miwasho kwenye sehemu za siri.

Hii ni Dalili kubwa sana ambayo inatokea kwa walio wengi kwa sababu kuna kipindi mtu anawashwa sana kwenye sehemu za siri hasa hasa baada tu ya kukojoa.

 

6. Maumivu wakati wa kujamiiana.

Kuna wakati mwingine kunakuwepo na maumivu makali wakati wa kujamiiana, kwa sababu ya kuwepo kwa vidonda au majeraha yaliyosababishwa na fangasi kwa hiyo ni lazima maumivu kuwepo wakati wa tendo.

 

7. Kuwepo kwa vidonda ukenu.

Kwa sababu ya kuwepo kwa fangasi hasa wa mda mrefu usababisha vidonda ukeni na kusababisha mgonjwa awe anajikuna mara kwa mara.

 

8. Kuwepo kwa moto baada ya kujamiiana.

Kwa sababu ya kuwepo kwa fangasi usababisha kuwepo kwa moto baada ya kujamiiana.

 





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 1157


Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani     👉2 Kitabu cha Afya     👉3 kitabu cha Simulizi     👉4 Kitau cha Fiqh    

Post zifazofanana:-

mimi mara ya mwisho kubleed ilikuwa tareh 3/9 nilisex tarehe 4 je ni kwel nna mimba maana hadi sasa sijableed au ni kawaida tu
Je unaijuwa siku yako hatari ya kupata mimba. Na itakuwaje kama tayari umebeba mimba changa. Nakala hii inakwenda kukushauri machache kuhusu maswali haya. Soma Zaidi...

Kwa nini hujapata siku zako za hedhi.
Unaweza kupitiliza siku zako za hedhi kwa sababu nyingi. Post hii itakueleza ni kwa nini umechelewa kupata siku zako. Soma Zaidi...

Sababu za kutoshika mimba kwa mwanamke
Post hii inahusu zaidi sababu za kutoshika mimba kwa mwanamke, kuna kipindi ambacho mwanamke hushindwa kushika mimba kuna sababu mbalimbali mojawapo ni kama zifuatazo Soma Zaidi...

Samahani nauliza mjamzito akiwa na presha140/90 Kuna madhara?
Presha ya kupanda hypertension huweza kuzumbuwa watu kwa jinsia zote, na umri wote. Wajawazito pia wamekuwa wakisumbuliwa na presha hii mara kwa mara. Soma Zaidi...

Aina mbalimbali za mimba kutoka.
Post hii inahusu zaidi aina mbalimbali za mimba kutoka, hizi ni jinsi mimba inavyoonyesha dalili za kutoka na nyingine zinaweza kuonyesha dalili Ila kwa sababu ya huduma mbalimbali za kwanza hizo mimba zinaweza kudhibiiwa na mtoto akazaliwa. Soma Zaidi...

Njia za kuzuia mimba zisiharibike.
Posti hii inahusu zaidi njia mbalimbali ambazo zinaweza kutumika ili kuweza kuzuia mimba zisiharibike, kwa sababu kila mama anayebeba mimba anategemea kupata mtoto kwa hiyo na sisi hamu yetu ni kuhakikisha kwamba mtoto anazaliwa kwa kuzuia mimba kuharibik Soma Zaidi...

MAJIMAJI YA KWENYE UKE YANATUELEZA NINI?
Soma Zaidi...

Wajibu wa mjamzito katika utaratibu wa uleaji wa mimba
Posti hii inahusu zaidi wajibu wa Mama mjamzito katika kileo mimba sio yeye tu Bali na wote waliomzunguka wanapaswa kuhakikisha kuwa mama mjamzito anapaswa kufanyiwa huduma zote Ili kuweza kujifungua salama na bila shida yoyote. Soma Zaidi...

Kondomu za kike
Posti hii inaonyesha Faida na hasara za Kondomu za kike Soma Zaidi...

Njia za kuzuia ugumba
Posti hii inahusu zaidi njia za kuzuia ugumba, ni njia ambazo utumiwa na wapenzi ambao wameshindwa kupata watoto hasa kwa wale ambao wamezaliwa wakiwa na uwezo wa kupata watoto lakini kwa sababu tofauti tofauti wanashindwa kupata watoto kwa hiyo njia zifu Soma Zaidi...

Sababu za kutoka mimba yenye miezi Saba na nane
Posti hii inahusu zaidi sababu za mtoto kuzaliwa akiwa na miezi Saba na nane kwa kawaida mtoto wa hivi anakuwa hajafikisha mda wake kwa hiyo uzaliwa akiwa na miezi saba na nane, kwa hiyo kuna sababu mbalimbali kama tutakavyoona Soma Zaidi...

Kwa mjamzito kuumia wakati wa tendo la ndoa tatizo linaweza kuwa ni nini?
Je unaweza kunielezaKwa mjamzito kuumia wakati wa tendo la ndoa tatizo linaweza kuwa ni nini? Soma Zaidi...