Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea kwa mtu mwenye uzito mkubwa,kwa kawaida ili mtu aweze kuwa na uzito wa kawaida ni vizuri na kiafya kupima urefu ukilinganisha na uzito wa mtu.
1 kwanza kabisa tunafahamu kwamba uzito mkubwa ni chanzo cha matatizo mbalimbali kwenye mwili wa binadamu, kuna watu wengine ni kawaida kuwaa wanene kwa sababu familia yao yote wanafanana hivyo wanakuwa na miili mikubwa pia na uzito mkubwa,ila kama kwa asilimia mwili ulikuwa mdogo na kwa sababu ya mtindo wa maisha mwili umeongezeka ni vizuri kabisa kuhakikisha kuwa umepunguza uzito kwa namna moja au nyingine kwa sababu kuna madhara mbalimbali yanaweza kutokea kwa sababu ya kuwepo kwa uzito mkubwa kama tutakavyoona.
2. Kuwepo kwa maumivu makali kwenye mgongo.
Maumivu hayo uanzia kiunoni na kushuka kueneza kwenye mgongo hali hiyo utokea kwa sababu pingili za kwenye mgongo Uweza kuelemewa na kusababisha pingili kuchoka na kusababisha maumivu kwenye mgongo hali ambayo kwa wakati mwingine usababisha pingili za kwenye utu wa mgongo kusagika.
3. Kuna wakati mwingine kama unene umekuwa mkubwa sana usababisha matatizo mbalimbali ambayo ni pamoja na kushindwa kubeba ujauzito kwa wanawake kwa hiyo ni vizuri kabisa kupunguza uzito ili kuweza kupunguza na matatizo mengine ya maisha yakiwemo kushindwa kubeba mimba.
4. Kuwepo kwa shinikizo la damu.
Kwa kawaida unene na uzito ukiwa mwingi pia usababisha na kuwepo kwa Tatizo la shinikizo la damu kwa sababu mishipa huwa midogo na kusababisha moyo kutumia nguvu ili kuweza kusukuma damu kwa nguvu kwenye sehemu mbalimbali za mwili.
5. Kuwepo kwa kufa ganzi kwenye sehemu mbalimbali.
Kuna kipindi kunakuwepo na ganzi kwenye sehemu mbalimbali za mwili kwa sababu ya hewa ya oxygen gas inakuwa haifiki sehemu mbalimbali za mwili na kusababisha kuwepo kwa ganzi kwenye mikono, miguu na sehemu nyingine.
6. Kwa hiyo ni vizuri kabisa kuhakikisha kwamba tunapunguza uzito na kuwa kwenye hali ya kawaida kwa sababu kuwepo kwa uzito mkubwa ni chanzo cha kuwepo pia kwa magonjwa mbalimbali.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi namna ya ugonjwa wa vipele kwenye midomo na sehemu za siri unavyoweza kuenea kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu baadhi ya vyakula vinavyoongeza nguvu za kiume
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi ugonjwa wa kipindupindu ni ugonjwa unaosababishwa na bakteria kwa kitaalamu huitwa vibrio cholera.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi ratiba ya chanjo ya kuzuia kuharisha hii ni chanjo wanayopewa watoto wadogo chini ya miaka mitano kwa lengo la kuzuia kuharisha chanjo hiyo kwa kitaalamu huitwa Rotarix.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi rangi isiyo ya kawaida kwenye mkojo, kawaida mkojo huwa na rangi ya kahawia Ila ukiona rangi zifuatazo Kuna shida kwenye mkojo.
Soma Zaidi...upungufu wa damu wa madini ya chuma ni aina ya kawaida ya upungufu wa damu hali ambayo damu haina chembe nyekundu za damu zenye afya. Seli nyekundu za damu hubeba oksijeni kwa tishu za mwili. Bila chuma cha kutosha, mwili wako hauwezi kutoa dutu ya k
Soma Zaidi...Vipi utamsaidia mti ambaye amepaliwa na maji? Post hii itakwenda kukifundisha jambo hili.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi mabadiliko katika umri wa kubarehe kwa wsichana, ni kipindi ambacho watoto huelekea ujana, utokea Kati ya miaka kuanzia Kumi na kuendelea.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu huduma ya Kwanza kwa mtu mwenye kizunguzungu
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi umuhimu wa uterusi, ni mfuko unayosaidia kumtunza mtoto akiwa tumboni mwa mama yake.
Soma Zaidi...