Fahamu kuhusu Ugonjwa wa pre - eclampsia

Posti hii inahusu zaidi ugonjwa wa pre- eclampsia ni Ugonjwa ambao uwapata wanawake wajawazito uwapata pale mimba inapofikisha umri wa wiki ishilini, utokea pale ambapo Mama mjamzito huwa na kiwango kikubwa cha shinikizo la damu na pia kuwepo kwa protini

Fahamu kuhusu Ugonjwa wa pre- eclampsia.

1.Kama tulivyoona hapo juu kwamba Ugonjwa huu usababishwa na kuwepo kwa shinikizo la damu pamoja na protini kwenye mkojo,kwa hiyo tunapaswa kufahamu kwamba Mama kabla hajabeba mimba anakuwa hana tatizo hili lakini akibeba mimba ndipo mabadiliko utokea kwa mjamzito kwa hiyo Mama mwenye Tatizo hili anapaswa kuangaliwa kwa karibu zaidi ili aweze kufikia wakati wa kujifungua kwa usalama, na walio wengi wakijifungua matatizo ya aina hii uisha kabisa.

 

2.Kwa hiyo kuna aina mbili ya ugonjwa huu wa eclampsia, kuna eclampsia ya kawaida na isiyo ya kawaida, tunaweza kuzitambua kwa kutumia vipimo vya shinikizo la damu na kuipima kiwango cha protini kwenye mkojo.

 

3. Pre - eclampsia ya kawaida utokea kwa kupima presha ya chini ambayo kwa kitaalamu huitwa dystolic presha, kwa kawaida presha ya chini ya kawaida inapaswa kuanzia sitini mpaka tisini, ila kwa mgonjwa wa pre-eclampsia presha ya chini uanzia tisini na haizidi mia na kumi, na pia kiwango cha protini kwenye mkojo ufika 2+ kwa hiyo aina hizi kwa mgonjwa uweza kuonekana za kawaida ila mama anapaswa kutunzwa kwa uangalizi zaidi.

 

4. Aina ya pili ya pre-eclampsia. Nia pale ambapo shinikizo la damu yaani presha ya juu na chini huwa juu, ambapo presha ya chini uanzia mia na kumi na ya juu ufika mia sitini na kuendelea, tunajua wazi kuwa presha ya juu uanzia mia ishirini na kuisha mua arobaini ikizidi hapo sio ya kawaida, kwa hiyo Mama wa hivi anapaswa kuwa na uangalizi wa karibu kutoka kwa wahudumu wa afya ili aweze kuepuka kuwepo kwa kifafa cha Mimba.

 

5.Kwa hiyo baada ya kujua hayo tunapaswa kuwahi kwenda kliniki mara tu ugunduapo uko mja mzito kwa sababu ya kuchukua vipimo mbalimbali ili kuweza kuokoa Maisha ya Mama na mtoto, na jamii inapaswa kuepukana mila na destory zinazoweza kufanya tatizo likawa kubwa kwa sababu ya kwenda kwa waganga na kusababisha madhara yasiyo tarajiwa.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: magonjwa Main: Afya File: Download PDF Views 1819

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani    👉2 Bongolite - Game zone - Play free game    👉3 Kitabu cha Afya    👉4 kitabu cha Simulizi    👉5 Simulizi za Hadithi Audio    👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)   

Post zinazofanana:

Dalili za anemia ya upungufu wa vitamin.

Anemia ya upungufu wa vitamini ni ukosefu wa seli nyekundu za damu zenye afya unaosababishwa na kiasi kidogo cha vitamini fulani kuliko kawaida.

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu Ugonjwa wa Dengue

Posti hii inahusu zaidi ugonjwa wa Dengue, ni ugonjwa unaosababishwa na virusi ila unasambazwa na mbu kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine mbu anayasambaza Ugonjwa huu kwa kitaalamu huitwa Aedes mosquito .

Soma Zaidi...
IJUE HOMA YA CHIKUNGUNYA (CHIKV) DALILI ZAKE, TIBA YAKE, CHANJO YAKE, NA MBU ANAYESAMBAZA HOMA HII

Haya ni maradhi ambayo husambazwa kutoka kwa mtu kwenda kwa mtu kwa kupitia mbu.

Soma Zaidi...
Maumivu ya tumbo kwa chini upande wa kushoto

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za maumivu ya tumbo chini upande wa kushoto

Soma Zaidi...
Ugonjwa wa kiseyeye na dalili zake

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu ugonjwa wa kiseyeye na dalili zake

Soma Zaidi...
Madhara ya kichaa cha mbwa

Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea kama mtu hajatibiwa ugonjwa wa kichaa cha mbwa.

Soma Zaidi...
Fahamu Ugonjwa wa upungufu wa Adrenali.

Posti hii inaelezea kuhusiana na Ugonjwa wa upungufu wa Adrenali ni ugonjwa ambao hutokea wakati mwili wako hutoa kiasi cha kutosha cha homoni fulani zinazozalishwa na tezi zako za adrenali. ugonjwa huu hutokea katika makundi yote ya umri na huathiri

Soma Zaidi...
Maradhi ya Pumu yanatokeaje?

Nini hasa kinatokea mpaka mtu anakuwa na pumu, ama anashambuliwa na pumu. Makala hii itakwenda kukufundisha jambo hili

Soma Zaidi...
Fahamu ajali ambazo utokea kwenye kifua

Post hii inahusu Zaidi ajalia ambazo utokea kwenye kifua Kwa kitaalamu huitwa chest injury,Kwa kawaida kwenye kifua kua sehemu mbalimbali kama vile mapafu,moyo,koo na sehemu mbalimbali, sehemu hizi uweza kupata ajali na kusababisha madhara makubwa,Kwa hiy

Soma Zaidi...