image

Fahamu mtindo mzuri wa maisha

Postei hizi inahusu zaidi mtindo mzuri wa maisha, yaani mtu ale ki vipi au afanyeni nini ili kuweza kuboresha afya yake.

Fahamu kuhusu mtindo mzuri wa maisha

1. Fanya mazoezi mara kwa mara walau dakika ishirini kila siku.

 

2.epuka vyakula vyenye mafuta kwa wingi.

 

3. Kunywa maji mengi ya kutosha hasa ya uvuguvugu.

 

4. Usijizoeze kuwa na mawazo ya mara kwa mara au kuwa na chuki kwa mda mrefu.

 

5.kuwa na marafiki wengi na epuka matumizi ya vileo vikali na uvutaji wa madawa ya kulevya 





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 1095


Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani     👉2 Kitabu cha Afya     👉3 Kitau cha Fiqh     👉4 kitabu cha Simulizi    

Post zifazofanana:-

TAHADHARI KWENYE VYAKULA ILI KULINDA AFYA YAKO
Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote Soma Zaidi...

darasa la lishe
Jifunze mengi kuhusu afya na lishe, ujuwe utaratibu wa lishe Soma Zaidi...

Kitabu cha Afya 03
Yajuwe mambo yanayoathiri afya ya miili yetu, jifunze mambo mengi kuhusu afya. Soma Zaidi...

Dondoo za afya 81-100
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu dondoo za afya Soma Zaidi...

ITAMBUE SARATANI CHANZO CHAKE, DALILI NA KUKABILIANA NAYO
Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote Soma Zaidi...

Kitabu Cha Kitabu Cha matunda
Kupata kitabu hiki download faili la PDF hapo chini na usome bila ya internet. Soma Zaidi...

NIJUZE KUHUSU AFYA
Soma Zaidi...

Masomo ya Afya kwa kiswahili
Makala za afya zilizopata kusomwa zaidi kutoka bongoclass kitengo cha afya Soma Zaidi...

dondoo 100 za Afya
Basi tambua haya;- 61. Soma Zaidi...

MZUNGURUKO WA DAMU
6. Soma Zaidi...

Kauli za wataalamu wa afya
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu kauli mbalimbali za wataalamu wa afya Soma Zaidi...

Nini maana ya Afya
Maana ya afya ni pana sana tofauti na vile ambavyo sisi tunajuwa. Afya inahusisha mambo mengi sana. Soma Zaidi...