FAHAMU TIBA YA JINO


image


Post hii inahusu zaidi tiba ya jino,ni tiba ya kawaida kwa watu walio na matatizo ya meno, kwa kawaida tunafahamu kwamba jino huwa halina dawa ila dawa yake huwa ni kungoa lakini Leo nawaletea habari njema kwamba jino sio kungoa tena ila Kuna tiba ambayo utolewa na jino haliwezi kuuma , kufa ganzi au kutoboka kwa hiyo ifuatavyo ni tiba ya jino.


Fahamu tiba muhimu ya jino.

1. Kwanza kabisa tunapaswa kufahamu mahitaji muhimu kwenye tiba yetu hii ya jino ndipo tutaweza kuendelea kutumia tiba hii .

 

2. Chukua mdalasini utwange vizuri mpaka uwe unga Kuna wengine wanaanika na wanaamua kutengeneza unga, chukua unga huu vijiko kama vitani hivi na uvitenge.

 

3. Pia chukua karafuu zisage vizuri na uhakikishe kuwa zimekuwa na unga wa kutosha na andaa vijiko vitano vya chai.

 

4. Pia andaa pilipili na sio kila aina ya pilipili inafaa kwa kutumia cha msingi unapaswa kutumia pilipili manga, zichume zikaushe vizuri na saga Ili kupata unga wa kutosha ila Kuna wengine huwa wanasaga pia wanaanika  vizuri pia wanatoa unga wa kutosha na hivyo pima vijiko viwili vya chai.

 

5. Vile vile tumia asali mbichi kiasi cha robo Lita .

Baada ya kuchukua unga wa mdalasini,unnga wa karafuu, unga wa pili pili manga na asali mbichi changanya kwa pamoja na viweke sehemu nzuri kwa ajili ya matumizi.

 

6. Pamoja na kupata tiba ya namna hii ni vizuri kabisa kuhakikisha kwamba unatumia kwa uaminifu na pia matumizi ya dawa hii sio kwamba unapaswa kuacha ushauri wa daktari hapana ni vizuri kabisa kutumia ushauri wa daktari kama jino limekuwa na matatizo zaidi kwa sababu Kuna wakati mwingine watu wanaachia kufuata mashart ya daktari kwa kutumia dawa holela holela. Kwa hiyo Ushauri kutoka kwa wataalamu wa afya ni muhimu kabisa.



Sponsored Posts


  ðŸ‘‰    1 Hadiythi za alif lela u lela       ðŸ‘‰    2 Mafunzo ya html kwa kiswahili       ðŸ‘‰    3 Maktaba ya vitabu       ðŸ‘‰    4 Madrasa kiganjani       ðŸ‘‰    5 Magonjwa na afya       ðŸ‘‰    6 Mafunzo ya php    


Je! una maswali, mapendekezo ama maoni? tuma ujumbe wa meseji SMS hapo chini ili kuunganishwa na muhusika au bofya hapa

SMS SMS



Post Nyingine


image Fahamu dawa ya sulfonamide dawa inayopambana na maambukizi ya bakteria mwilini.
Post hii inahusu zaidi dawa ya sulphonamide ni mojawapo ya dawa ambayo usaidia kutibu magonjwa mbalimbali yanayosababishwa na bakteria ni dawa au antibiotics ya mda mrefu na pia matumizi yake sio makubwa sana kwa sababu ya kuwepo kwa antibiotics zenye nguvu zaidi kuliko yenyewe,lakina dawa nyingine zikishindikana yenyewe bado inatumika na watu wanapona. Soma Zaidi...

image Nani anapaswa kutumia vidonge vya zamiconal.
Posti hii inahusu zaidi watu ambao wana uwezo wa kutumia vidonge vya zamiconal, ni baadhi ya watu au makundi yanayoweza kutumia vidonge hivi. Soma Zaidi...

image Fahamu kuhusu dawa ya propranolol ambayo hutibu magonjwa ya moyo
Post hii inahusu zaidi dawa ya propranolol katika matibabu ya magonjwa ya moyo, dawa hii ipo kwenye kundi la beta blockers na ufanya Kazi mbalimbali hasa kwa wagonjwa wa moyo. Soma Zaidi...

image Imani potofu juu ya chanjo.
Post hii inahusu zaidi Imani potofu juu ya chanjo kwa watoto na akina Mama, ni baadhi ya Imani waliyonayo watu juu ya chanjo. Soma Zaidi...

image Fahamu Dawa inayotumika kupunguza maumivu (ibuprofen)
Ibuprofen ni mojawapo ya dawa zinazotumiwa sana duniani kote! Ili kupunguza maumivu na kuvimba, agiza Ibuprofen leo na upate afya bora! Ni kiungo amilifu katika dawa za jina kama vile Motrin na zaidi. Ibuprofen pia inaweza kuuzwa kama: Advil Motrin, Nuprin. Soma Zaidi...

image Dawa ya quinenes katika kutibu Malaria
Post hii inahusu zaidi dawa e quinine katika kutibu Malaria ni dawa inayotibu Ugonjwa wa Malaria ikiwa dawa nyingine zimeshindwa kufanya kazi. Soma Zaidi...

image Ifahamu dawa ya isoniazid katika kupambana na ugonjwa wa TB
Post hii inahusu zaidi dawa ya isoniazid katika mapambano na kifua kikuu, tunafahamu kabisa kwamba kifua kikuu ni hatari katika jamii kwa hiyo dawa ya isoniazid ni mkombozi katika mapambano na kifua kikuu. Soma Zaidi...

image Kazi za chanjo ya polio
Posti hii inahusu zaidi kazi ya chanjo za polio na kazi zake,hii ni chanjo ambayo unazuia maambukizi ya Virusi vinavyosababisha polio. Soma Zaidi...

image Zijue kazi za chanjo ya DTP au DPT (Donda Koo,Pepopunda, na kifaduro))
Posti hii inahusu zaidi kazi ya chanjo ya DTP au DPT ambayo Inazuia magonjwa ya Donda Koo, Pepopunda na kifaduro. Soma Zaidi...

image Ijue dawa ya cephalosporin katika kupambana na bakteria
Post hii inahusu zaidi dawa ya cephalosporin katika kupambana na bakteria, ni mojawapo ya kundi kati ya makundi ya kupambana na bakteria ambalo ufanya Kazi kama penicillin. Soma Zaidi...