Posti hii inazungumzia Faida, hasara, na madhara ya Kufunga kizazi kwa Wanaume.
Kufunga kizazi kwa Wanaume
Ni njia ya upasuaji ya kupanga uzazi kwa wanaume ambao wana uhakika kwamba hawataki watoto zaidi. Ni njia ya kudumu ya kuzuia mimba . Ni njia ya upasuaji ambayo inaweza kufanywa katika kliniki kwa utaratibu mzuri wa kuzuia maambukizi.
Taratibu zake
Inahusisha kukata na kufunga kwa epididymis. Chale ndogo hutengenezwa kwenye korodani ya mwanamume na kuziba mirija yote miwili inayotoa mbegu za kiume kutoka kwenye korodani zake. Kwa hiyo mbegu za kiume haziwezi kukutana na yai la mwanamke.
1. Njia ya uzazi wa mpango ya kudumu
2. Hakuna kinachohitajika badala ya njia hii mfano kondomu
3. Hakuna haja ya kubadili vifaa.
1. Matatizo madogo ya muda mfupi ya upasuaji k.m. maumivu
2. Matatizo yasiyo ya kawaida ya upasuaji k.m. Vujadamu.
3. Inahitaji upasuaji mdogo na wafanyikazi waliofunzwa.
4. Operesheni ya kurudi nyuma ni ngumu na ya gharama kubwa
Nani anaweza kutumia njia
1.Mwanaume ambaye hataki kuwa na watoto zaidi.
Ambao hawawezi kutumia njia
-Mwanaume ambaye anaweza kutaka kuwa na watoto zaidi
Mwisho: Hakuna kinga dhidi ya maambukizo ya zinaa pamoja na VVU/UKIMWI
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Somo hili linakwenda kukueleza njia za kuongeza nguvu za kiume
Soma Zaidi...Kamaumeshawahi kujiuliza kuhusu kutokwaba damu tofautivna siku za hedhi, base mwaka hii ni kwaajiki yako.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza baadhi ya sifa za siku za kupata mimba
Soma Zaidi...Dalili za kuharibika kwa ujauzito na dalili za kuharibika kwa ujauzo
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi dalili ambazo zinaweza kutokea iwapo Kuna upungufu wa homoni ya progesterone.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa kunyonyesha kwa akina Mama, kunyonyesha ni kitendo ambacho Mama utumia maziwa yake na kumlisha mtoto pindi tu anapozaliwa mpaka wakati anapoachishwa titi, kunyonyesha huwa na faida kubwa kwa wote yaani Mama na mtoto, zif
Soma Zaidi...Makala hii itakujuza baadhi ya njia utakaoweza kuzifuata ili kukabiliana na fangasi sehemu za siri kwa wanaume
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi ukweli kuhusu njia za uzazi wa mpango, sio kwa imani potofu ambazo Watu utumia kuelezea uzazi wa mpango.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi siku za kubeba mimba na zisizo za kubeba mimba , tunapaswa kujua hivi Ili kuweza kupanga uzazi na kuepuka njia ambazo ni hatarishi kwa afya zetu.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kuondoa tatizo la nguvu za kiume
Soma Zaidi...