picha

Faida za biringanya/ eggplant

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za biringanya/ eggplant

 

59. Faida za kula bilinganya (eggplant)

? Ijapokuwa watu wanaita hii ni mboga lakini uhalisia bilinganya ni tunda.

1. lina virutubisho kama vitamini C, K pia madini ya potassium na manganese pia lina protini

2. Hulinda mwili dhidi ya madhara ya kemikali

3. Hupunguza hatari ya kupata maradhi ya moyo

4. Husaidia katika kudhibiti kiwango cha sukari kwenye damu kwa kuishusha

5. Husaidia katika kupunguza uzito

6. Pia husaidia katika kupambana na saratani kwa kuziuwa seli za saratani

7. Huboresha humoni ya insulini iweze kutolewa kwa ufanisi

8. Husaidia katika kudhibiti kisukari.

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Vyakula Main: Post File: Download PDF Views 4055

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 web hosting     👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉3 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉4 Bongolite - Game zone - Play free game     👉5 Dua za Mitume na Manabii     👉6 Simulizi za Hadithi Audio    

Post zinazofanana:

Ndizi (banana)

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula ndizi

Soma Zaidi...
Yajuwe magonjwa matano yanayo tokana na utapiamlo

Post hii inakwenda kukutajia mahonjwa matano ambayo hutokana na utapia mlo.

Soma Zaidi...
Aina 20 za Vitamini, kazi zake, vyanzo vyeke na madhara ya upungufu wake

Katika post hii utakwenda kujifunza aina 20 za vitamini. Utajifunza kazu zake mwilini, vyanzo vyake na madhara yanayoweza kutokea kutokana na upungufu wake.

Soma Zaidi...
VYAKULA VYA VITAMIN NA MAJI

Zitambue aina zote za vyakule na ufanye maamuzi yaliyo kuwa sahihi katika uandaaji wa chakula chako

Soma Zaidi...
Tangawizi

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za tangawizi

Soma Zaidi...