Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za biringanya/ eggplant
59. Faida za kula bilinganya (eggplant)
? Ijapokuwa watu wanaita hii ni mboga lakini uhalisia bilinganya ni tunda.
1. lina virutubisho kama vitamini C, K pia madini ya potassium na manganese pia lina protini
2. Hulinda mwili dhidi ya madhara ya kemikali
3. Hupunguza hatari ya kupata maradhi ya moyo
4. Husaidia katika kudhibiti kiwango cha sukari kwenye damu kwa kuishusha
5. Husaidia katika kupunguza uzito
6. Pia husaidia katika kupambana na saratani kwa kuziuwa seli za saratani
7. Huboresha humoni ya insulini iweze kutolewa kwa ufanisi
8. Husaidia katika kudhibiti kisukari.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
tangawizi ni katika viungio vya mboga vyenye faida, pia ni kinywaji, zijuwe leo faida za tangawizi
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za vyakula vya protini
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu baadhi ya vyakula vimpasavyo mgonjwa wa kisukari
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula passion
Soma Zaidi...Hapa utajifunza vyakula hatari kwa mgonjwa wa kisukari, pia utajifunza vyakula salama anavyotakiwa ale mgonjwa wa kisukari, Pia ujajifunza njia za kujikinga na kisukari
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi baadhi ya vyakula ambavyo vinaweza kutumika ili kuweza kuweka ini kwenye hali yake ya kawaida.
Soma Zaidi...