picha

Faida za biringanya/ eggplant

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za biringanya/ eggplant

 

59. Faida za kula bilinganya (eggplant)

? Ijapokuwa watu wanaita hii ni mboga lakini uhalisia bilinganya ni tunda.

1. lina virutubisho kama vitamini C, K pia madini ya potassium na manganese pia lina protini

2. Hulinda mwili dhidi ya madhara ya kemikali

3. Hupunguza hatari ya kupata maradhi ya moyo

4. Husaidia katika kudhibiti kiwango cha sukari kwenye damu kwa kuishusha

5. Husaidia katika kupunguza uzito

6. Pia husaidia katika kupambana na saratani kwa kuziuwa seli za saratani

7. Huboresha humoni ya insulini iweze kutolewa kwa ufanisi

8. Husaidia katika kudhibiti kisukari.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Vyakula Main: Post File: Download PDF Views 3871

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh     👉2 Madrasa kiganjani     👉3 ai web app     👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉5 Dua za Mitume na Manabii     👉6 kitabu cha Simulizi    

Post zinazofanana:

Athari za kula vitamin C kupitiliza

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu athari za kula vitamini C kupitiliza

Soma Zaidi...
Faida za kitunguu thaumu

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kitunguu thaumu

Soma Zaidi...
Matunda yenye Vitamin C kwa wingi

Vitamin C ni katika vitamin vinavyosaidia sana mfumo wa Kinga kulinda mwili dhidi ya vimelea vya maradhi. Hapa nitakuletea orodha ya matunda ambayo yana vitamini C kwa wingi.

Soma Zaidi...
Faida za apple kwa Mama mjamzito

Posti hii inahusu zaidi faida za apple kwa mama mjamzito, ni faida anazozipata mama akiwa mjamzito kwa sababu ya kuwepo kwa vitamini mbalimbali kwenye apple ambavyo usaidia katika makuzi ya mtoto.I

Soma Zaidi...