picha

Faida za biringanya/ eggplant

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za biringanya/ eggplant

 

59. Faida za kula bilinganya (eggplant)

? Ijapokuwa watu wanaita hii ni mboga lakini uhalisia bilinganya ni tunda.

1. lina virutubisho kama vitamini C, K pia madini ya potassium na manganese pia lina protini

2. Hulinda mwili dhidi ya madhara ya kemikali

3. Hupunguza hatari ya kupata maradhi ya moyo

4. Husaidia katika kudhibiti kiwango cha sukari kwenye damu kwa kuishusha

5. Husaidia katika kupunguza uzito

6. Pia husaidia katika kupambana na saratani kwa kuziuwa seli za saratani

7. Huboresha humoni ya insulini iweze kutolewa kwa ufanisi

8. Husaidia katika kudhibiti kisukari.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Vyakula Main: Post File: Download PDF Views 4043

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi     👉2 Madrasa kiganjani     👉3 Dua za Mitume na Manabii     👉4 Kitabu cha Afya     👉5 ai web app     👉6 Kitau cha Fiqh    

Post zinazofanana:

UPUNGUFU WA VITAMIN NA MAJI

Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote

Soma Zaidi...
Faida za kula Zabibu (grape)

faida za kula tunda zabibu kwa ajili ya afya yako

Soma Zaidi...
Papai lililo iva ni salama kwa mama mjamzito au halifai

Papai ni moja kati ya matunda yenye vitamini C na virutubisho vinginevyo. Lakini papai pia ni moja kati ya vyakula ambavyo mjamzito anatakiwa awe makini navyo.

Soma Zaidi...
Faida za kula nazi

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula nazi

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula mahindi

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula mahindi

Soma Zaidi...