FAIDA ZA KIAFYA ZA KITUNGUU MAJI


image


Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kitunguu maji


. Faida za kitunguu maji (onion)

1. kitunguu kina virutubisho kama vitamini C, B9 na B6 pia madini kama potassium

2. Hulinda afya ya moyo

3. Hushusha presha ya damu

4. Hulinda mwili dhidi ya kisukari, saratani na maradhi ya moyo

5. Husaidia katika kuzuia saratani kusambaa maeneo mengine ya mwili

6. Husaidia katika kudhibiti kiwango cha sukari kwenye damu na hii ni muhimu hasa kwa watu wenye type2 diabetes

7. Huboresha afya ya mifupa na kuifanya iwe imara na madhubuti

8. Huimarisha ulinzi wa mwili dhidi ya maambukizi ya bakteria

9. Huboresha na kuimarisha mfumo wa mmeng’enyo wa chakula



Sponsored Posts


  ðŸ‘‰    1 Hadiythi za alif lela u lela       ðŸ‘‰    2 Madrasa kiganjani       ðŸ‘‰    3 Mafunzo ya html kwa kiswahili       ðŸ‘‰    4 Maktaba ya vitabu       ðŸ‘‰    5 Jifunze fiqh       ðŸ‘‰    6 Mafunzo ya php    


Je! una maswali, mapendekezo ama maoni? tuma ujumbe wa meseji SMS hapo chini ili kuunganishwa na muhusika au bofya hapa

SMS SMS



Post Nyingine


image Faida za kula apple (tufaha)
Posti hii itakwende kukueleza kuhusu faida za kula apple na umuhimu wake kiafya Soma Zaidi...

image Faida za ukwaju (tamarind)
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za ukwaju Soma Zaidi...

image Faida za kiafya za kunywa maziwa
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kunywa maziwa Soma Zaidi...

image Faida za biringanya/ eggplant
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za biringanya/ eggplant Soma Zaidi...

image Faida za mbegu za maboga
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za mbegu za maboga Soma Zaidi...

image Faida za kula nanasi
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula nanasi Soma Zaidi...

image Faida za kiafya za kula kungumanga/nutmeg
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kungumanga/nutmeg Soma Zaidi...

image Nyanya (tomato)
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula nyanya Soma Zaidi...

image Faida za kula ndizi
Somo hiki linakwenda kukueleza faida za kiafya za kula ndizi Soma Zaidi...

image Faida za kula viazi mbatata
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula viazi mbatata Soma Zaidi...