Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula biringanya eggplant)
Faida za biringanya (eggplant)
Ujapokua watu huwa wanaita biringanya kuwa Ni mboga, ila kiuhalisia biringanya ni tunda
1. Lina virutubisho Kama protini, vitamin C na K, pia madini ya potassium na manganese
2. Hulinda mwili dhidi ya madhara ya kemikali
3. Hupunguza hatari ya kupata maradhi ya moyo
4. Hupunguza uzito
5. Huboresha homoni ya insulin ili iweze kufanya kazi vyema
6. Hupunguza hatari ya kupata kisukari
7. Hupambana na saratani na kuzuia seli za saratani kuzaliana
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi namna nzuri ya kuandaa mchai chai kwa ajili ya matumizi mbalimbali, Ili kutumia mmea wa mchai chai zifuatazo ni mbinu za kuandaa mmea huu.
Soma Zaidi...Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
Soma Zaidi...Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
Soma Zaidi...Post hii inakwenda kukujulisha hatari za kupaliwa na asali ama kitu kingine kama muulizaji alivyouliza.
Soma Zaidi...Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
Soma Zaidi...Je unajuwa kuwa majimaji yanayotoka ukeni yanatueleza mengi kuhusu afya yako, rangi za majimaji ya ukeni na damu ya hedhi
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi magonjwa nyemelezi kwa watoto wadogo chini ya miaka mitano,. Ni magonjwa yanayowapata watoto wadogo kwa sababu kinga Yao bado ni ndogo.
Soma Zaidi...