picha

Faida za kiafya za kula fenesi

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula fenesi

. Faida za kiafya za kula fenesi

1. lina virutubisho vingi kama vitamini A, na C, pia kuna wanga

2. Huimarisha mfumo wa kinga

3. Ni chakula kinachotia nguvu

4. Huboresha afya ya moyo na mishipa ya damu na kuthibiti presha

5. Huzuai kukosa choo

6. Huzuia mwili dhidi ya kupata saratani

7. Huboresha afya ya macho

8. Husaidia kuimarish afya ya mifupa

9. Husaidia kuzuia pumu

10. Ni zuri kwa afya ya ngozi

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Vyakula Main: Post File: Download PDF Views 2979

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani     👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉3 ai web app     👉4 Simulizi za Hadithi Audio     👉5 Dua za Mitume na Manabii     👉6 Kitabu cha Afya    

Post zinazofanana:

Vyakula vizuri kwa vidonda vya tumbo

Hii ni orodha ya vyakula salama na vizuri kwa mgonjwa wa vidonda vya tumbo

Soma Zaidi...
Namna ya kuandaa mdalasini kwa ajili ya tiba.

Posti hii inahusu namna au njia za kuandaa mdalasini kwa ajili ya tiba ya homoni imbalance kwa wanawake.

Soma Zaidi...
Kazi za virutubisho vya protini mwilini

Somo hili linakwenda kukuletea kazi za virutubisho vya protini mwilini

Soma Zaidi...