Faida za kiafya za kula fyulisi/ peach
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula fyulisi/peach
. Faida za kiafya za kula fyulisi (peach)
1. lina virutubisho kama vitamini C, A na E. pia madini ya potassium, shaba, manganese na phosphorus.
2. Huimarisha afya ya mifupa na meno
3. Huimarisha mfumo wa kinga
4. Kupunguza kazi ya kuzeheka
5. Hulinda mfumo wa fahamu na neva
6. Huboresha afya ya macho
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Kitau cha Fiqh 👉2 ai web app 👉3 Bongolite - Game zone - Play free game 👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉5 web hosting 👉6 Madrasa kiganjani
Post zinazofanana:
Kazi za madini ya Shaba mwilini.
Post hii inahusu zaidi madini ya Shaba mwilini,ni madini ambayo ufanya kazi mbalimbali mwilini, kama ifuatavyo
Soma Zaidi...Vyakula vya protini
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za vyakula vya protini
Soma Zaidi...Vitamini na kazi zake
Posti hii inahusu zaidi vitamini mbalimbali na kazi zake kwenye mwili,vitamini ufanya kazi mbalimbali kwenye mwili kama ifuayavyo.
Soma Zaidi...Faida za kula embe
Somo hili linakwenda kukuletea faida za embe na umuhimu wake kiafya
Soma Zaidi...