Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula fyulisi/peach
. Faida za kiafya za kula fyulisi (peach)
1. lina virutubisho kama vitamini C, A na E. pia madini ya potassium, shaba, manganese na phosphorus.
2. Huimarisha afya ya mifupa na meno
3. Huimarisha mfumo wa kinga
4. Kupunguza kazi ya kuzeheka
5. Hulinda mfumo wa fahamu na neva
6. Huboresha afya ya macho
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Makala hii inakwenda kukutajia sababau kuu 10 ambazo zinaonyesha umuhimu wa kula matunda kiafya. kwa nini kiafya unashauriwa ule matunda na mboga mara kwa mara?
Soma Zaidi...vitamini B vipo katika makundi mengi kma aB1, B2, B3, B5, B6, B7 na B12. Makala hii itakwenda kukutajia kazi kuu za Vitamini B katika miili yetu
Soma Zaidi...Palachichi lina virutubisho vingi na vitamini, kula palachichi uiokoe afya yako
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi magonjwa nyemelezi kwa watoto wadogo chini ya miaka mitano,. Ni magonjwa yanayowapata watoto wadogo kwa sababu kinga Yao bado ni ndogo.
Soma Zaidi...kuhusu vitamini K, wapi tutavipata, ni zipi athari zake na ni zipi kazi zake mwilini.
Soma Zaidi...