Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kisamvu
Faida za kiafya za kula kisamvu
1. kisamvu ni kizuri kwa wanawake wajawazito kwani kina vitamini C vingi
2. Husaidia kupambana na kwashoorkor (kwashiakoo) aina ya utapiamlo
3. Majani ya kisamvu yakipondwa husaidia kuondosha homa na maumivu ya kichwa
4. Hutibu kuhara unasanga majani
5. Hutibu tatizo la macho kutokuona vyema unachemsha majani ya kisamvu pamoja na tangawizi na chumvi
6. Huongeza hamu ya kual chemsha kisamvu, tangawizi na chumvi kisha kunywa
7. Hutibu minyoo
8. Husaidia kuchelewa kuzeheka
9. Hutibu stroke
10. Huongeza stamina
11. Husaidia katika kupona kwa vidonda na majeraha kwa haraka
12. Huboresha mfumo wa kinga
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu namna au njia za kuandaa mdalasini kwa ajili ya tiba ya homoni imbalance kwa wanawake.
Soma Zaidi...Post hii itakupa elimu kuhusu mfumo wa mmrng'enyobwa chakula unavyo fanyankazi
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za vyakula vya vitamin D
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu athari za kula vitamini C kupitiliza
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kitunguu thaumu
Soma Zaidi...Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
Soma Zaidi...Hii ni orodha ya matunda yenye vitamini C kwa wingi sana ikiwemo machungwa, mapera na mapapai
Soma Zaidi...