Faida za kiafya za kula kitunguu thaumu
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kitunguu thaumu
Faida za kiafya za kitunguu thaumu
1. ina chembechembe za salfa ambazo ni dawa kubwa kwa afya ya mtu
2. Kuna virutubisho kama vitamini C na vitamini B6, pia madini ya manganese
3. Hupunguza usingizi
4. Hupambana na mafua
5. Hushusha presha ya damu
6. Huboresha afya ya moyo
7. Huborsha afya ya ubongo na kuondoa tatizo la kusahausahau
8. Huondosha sumu za vyakula na kemikali mwilini
9. Huboresha afya ya mifupa
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Kitabu cha Afya 👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉3 Simulizi za Hadithi Audio 👉4 kitabu cha Simulizi 👉5 Madrasa kiganjani 👉6 Bongolite - Game zone - Play free game
Post zinazofanana:
Faida za kula Tufaha (epo)
Tufaha ni katika matunda adimu na matamu, je unazijuwa faida zake kkiafya?
Soma Zaidi...Vyakula vinavyopendekezwa kwa mtu mwenye kisukari.
Tutazungumzia: Makundi ya vyakula rafiki kwa mgonjwa wa kisukari. Namna ya kuchagua chakula chenye sukari ndogo kwa mwili. Mifano ya vyakula vya kula na vile vya kupunguza.
Soma Zaidi...Matunda yenye vitamini C kwa wingi
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu matunda yenye vitamin C kwa wingi
Soma Zaidi...Vyakula vya kupambana na saratani
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu vyakula vya kupambana na saratani
Soma Zaidi...Je! vitu vichachu kama,machungwa twarusiwa kula wagonjwa wa vidonda vya tumbo?
Nashukuru kwa ushauri, Je!
Soma Zaidi...