picha

Faida za kiafya za kula kitunguu thaumu

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kitunguu thaumu

Faida za kiafya za kitunguu thaumu

1. ina chembechembe za salfa ambazo ni dawa kubwa kwa afya ya mtu

2. Kuna virutubisho kama vitamini C na vitamini B6, pia madini ya manganese

3. Hupunguza usingizi

4. Hupambana na mafua

5. Hushusha presha ya damu

6. Huboresha afya ya moyo

7. Huborsha afya ya ubongo na kuondoa tatizo la kusahausahau

8. Huondosha sumu za vyakula na kemikali mwilini

9. Huboresha afya ya mifupa

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 2021-10-27 Topic: Vyakula Main: Afya File: Download PDF Views 1767

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Simulizi za Hadithi Audio    👉2 ai web app    👉3 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉4 web hosting    👉5 Kitau cha Fiqh    👉6 Madrasa kiganjani   

Post zinazofanana:

Faida za kiafya za kula mahindi

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula mahindi

Soma Zaidi...
Faida za kula Tango

Matunda ya zamani na ya asili, zijuwe faida za kiafya za tango

Soma Zaidi...
Faida za nazi

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula nazi

Soma Zaidi...
Vyakula salama na vilivyo hatari kwa mwenye kisukari, na vipi atajikinga na kisukari

Makala hii inakwenda kukupa elimu juu ya vyakula na vinywaji vilivyo salama kwa mtu mwenye kisukari, na ni vyakula vipi ni hatari kwa mwenye kisukari. Pia utajifunza njia za kujilinda na kupata kisukari.

Soma Zaidi...
Habari ndugu naomba kuuliza eti mtu akipaliwa na asali anakufa?

Post hii inakwenda kukujulisha hatari za kupaliwa na asali ama kitu kingine kama muulizaji alivyouliza.

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za topetope (accustard apple/sweetsop)

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula topetope

Soma Zaidi...
Faida za kula nazi

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula nazi

Soma Zaidi...
Faida za kula stafeli/soursop

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za stafel/soursop

Soma Zaidi...