Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula maboga
Faida za maboga
1. Mbegu za maboga zina virutubisho Kama protini, fati, vitamini K na madini ya zink, shaba, manganese na magnesium
2. Maboga yana antioxidants ambazo hulinda mwili dhidi ya mashambulizi
3. Husaidia kupunguza uwezekano wa kupata saratani
4. Huimarisha afya ya korodani na kibofu
5. Huboresha afya ya moyo
6. Hudhibiti kiwango cha sukari mwilini
7. Ni nzuri kwa afya ya mifupa
8. Huzuia tatizo la kukosa choo
9. Husaidia katika kupata usingizi mwororo
10. Huongeza mbegu za kiume
Je! umeipenda hii post?
Ndio Hapana Save post
Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa
Mwandhishi Tarehe 2021-10-19 Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 1464
Download our Apps
👉1 Madrasa kiganjani
👉2 Kitabu cha Afya
👉3 Kitau cha Fiqh
👉4 kitabu cha Simulizi
Yafahamu magonjwa nyemelezi kwa watoto chini ya miaka mitano
Posti hii inahusu zaidi magonjwa nyemelezi kwa watoto wadogo chini ya miaka mitano,. Ni magonjwa yanayowapata watoto wadogo kwa sababu kinga Yao bado ni ndogo. Soma Zaidi...
Vyakula vya fati
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu aina za vyakula vya fati na umuhimu wake mwilini Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula mahindi
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula mahindi Soma Zaidi...
Faida za kiafya za peaz/ peas
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula peazi Soma Zaidi...
Faida za kula stafeli/soursop
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za stafel/soursop Soma Zaidi...
Faida za kula papai
Posti hii inaonyesha Faida za kula papai.papai Ni tunda na Lina leta afya,nguvu na kuujenga mwili. Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula maboga
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula maboga Soma Zaidi...
Faida za kula kunde, maharage, njegere, mbaazi na njugu mawe
Somo hili linakwenda kukuletea faida za kiafya za kula kunde, maharage, njegere, mbaazi na njugu mawe Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula kisamvu
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kisamvu Soma Zaidi...
Faida za kula karoti
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kula karoti Soma Zaidi...
Karanga (groundnuts)
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula karanga Soma Zaidi...
Faida za kula chungwa na chenza (tangarine)
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula chungwa na chenza (tangarine) Soma Zaidi...