Faida za kiafya za kula magimbi/ taro roots
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula magimbi
Faida za kula magimbi
1. Magimbi yana virutubisho Kama vitamin B6, C na E, protin na fati pia yana madini ya phosphorus, potassium, shaba, manganese na magnesium
2. Hudhibiti kiwango cha sukari
3. Hupunguza kasi ya mmeng'enyo wa chakula
4. Hupunguza hatari ya kupata maradhi ya moyo na mishipa ya damu
5. Huboresha afya ya utumbo
6. Hulinda mwili dhidi ya mashambulizi
7. Magimbi yana chembe chembe ambazo hulinda mwili dhidi ya saratani na kuzuia seli za saratani mwilini
8. Husaidia katika kupunguza uzito
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Simulizi za Hadithi Audio 👉2 kitabu cha Simulizi 👉3 Kitabu cha Afya 👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉5 Kitau cha Fiqh 👉6 Bongolite - Game zone - Play free game
Post zinazofanana:
Vyakula vinavyopendekezwa kwa mtu mwenye kisukari.
Tutazungumzia: Makundi ya vyakula rafiki kwa mgonjwa wa kisukari. Namna ya kuchagua chakula chenye sukari ndogo kwa mwili. Mifano ya vyakula vya kula na vile vya kupunguza.
Soma Zaidi...Vyakula vya fati
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu aina za vyakula vya fati na umuhimu wake mwilini
Soma Zaidi...Vijuwe vyakula vya madini na kazi za madini mwilini
Post hii inakwenda kukieleza kuhusu vyakula vya madini na kazi zake mwilini
Soma Zaidi...