image

Faida za kiafya za kula mahindi

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula mahindi

Faida za mahindi

1. Mahindi yana virutubisho Kama protini, wanga, madini ya chuma, vitamini B1, B5, B12 na C

2.Husaidia katika utengenezwaji wa seli hai nyekundu za damu

3. Husaidia kupunguza uwezekano wa kupata maradhi ya anemia

4. Ni chakula kinachoipa miili yetu nguvu

5. Husaidia katika kuongeza uzito

6. Hushusha kiwango cha sukari kwenye damu

7. Husaidia kwa afya ya mama mjamzito na mtoto aliepo tumboni, pia husaidia katika kujifungua salama

8. Huboresha afya ya ngozi





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 1660


Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi     👉2 Madrasa kiganjani     👉3 Kitabu cha Afya     👉4 Kitau cha Fiqh    

Post zifazofanana:-

Faida za karoti
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za karoti na umuhimu wake kiafya Soma Zaidi...

Vyakula vya vitamin K
Some Hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za vyakula vya vitamin K Soma Zaidi...

vitamini B na makundi yake
Makala hii inakwenda kukuletea kazi za vitamini B, pia tutajwenda kuona makundi ya vitamini B na kazi za kila kundi. Pia makala hii inakwenda kukufundisha vyanzo na vyakula vya vitamini B. Utajifunza pia kazi kuu za vitamini B kw Soma Zaidi...

Faida za kula tikiti
Somo hili linalenga kukujuza juu ya umuhimu wa tikiti kwenye afya ya mwili Soma Zaidi...

Kazi ya Piriton
Posti hii inahusu zaidi kazi ya Piriton katika kutibu mzio au akeji ni dawa ambayo kwa lingine huitwa chlorpheniramine Maleate. Soma Zaidi...

Faida za kiafya za kula Mbegu za papai
Soma Zaidi...

Vitamini C ni nini, na vipo kwenye nini?
Hapa utajifunza maana ya Vitamini C, mwaka vilipogunduliwa na aliyegundua vitamini C Soma Zaidi...

Vyakula vyenye madini kwa wingi
Somo hili linakwenda kukuletea orodha ya vyakula vyenye madini kwa wingi Soma Zaidi...

FAIDA ZA KULA ZABIBU
Somo hili litakwenda kukueleza kuhusu faida za kula zabibu na umuhimu wake kiafya Soma Zaidi...

matunda
Soma Zaidi...

Vyakula vya vitamini B na faida zake
Soma Zaidi...

Faida za kiafya za kula Fenesi
Soma Zaidi...