Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula nyama
FAIDA ZA KIAFYA ZA KULA NYAMA
1. tunapata vitutubisho kama protini, vitamini na fati
2. Husaidia kuongeza uzito
3. Huboresha afya ya mifupa
4. Husaidia kwa ukuaji bora na wa haraka
5. Hulinda miili dhidi ya utapia mlo
6. Madini yaliyomo kwenye nyama husaidia mwili katika kujilinda.
7. Nyama ni chakula kitami
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Vitamin C ni katika vitamin vinavyosaidia sana mfumo wa Kinga kulinda mwili dhidi ya vimelea vya maradhi. Hapa nitakuletea orodha ya matunda ambayo yana vitamini C kwa wingi.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu namna au njia za kuandaa mdalasini kwa ajili ya tiba ya homoni imbalance kwa wanawake.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula panzi senene na kumbikumbi
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi madhara ya kuwepo kwa vyakula vya kisasa, vyakula vya kisasa ni vyakula vya madukani ambavyo vimetengenezwa na kuwekwa kwenye maduka
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula asali
Soma Zaidi...Papai ni moja kati ya matunda yenye vitamini C na virutubisho vinginevyo. Lakini papai pia ni moja kati ya vyakula ambavyo mjamzito anatakiwa awe makini navyo.
Soma Zaidi...