Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula senene, panzi na kumbikumbi
Faida za panzi, senene na kumbikumbi
1. Zina virutubisho Kama protini kwa kias kikubwa
2. Huboresha mfumo wa kinga
3. Huimarisha afya ya meno na mifupa
4. Hulinda mwili dhidi ya maradhi ya anemia
5. Huboresha na kulinda seli dhidi ya mashambulizi
6. Ni tiba nzuri ya maradhi ya puru
7. Ni chakula kizuri kwa maendeleo ya ukuaji wake kiumbe kilichopo tumboni
8. Ni chakula kizuri kwa afya ya ubongo
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Kitunguu saumu ni tiba mbadala ya presha yabkushuja. Hakitatui tatizo yaani hakiponyeshi, ila husaidia katika kushusha presha iliyo panda.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kisamvu
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula kunazi/ lotetree
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa kutumia maharage kwa wingi, maharage ni aina ya chakula ambacho upatikanaji wake ni rahisi na watu wengi hawajui kwa ulaji wa maharage una faida kubwa sana mwilini kwa hiyo tunapaswa kuangalia faida za maharage kama ifua
Soma Zaidi...