Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula pera
Faida z kiafya za pera
1. husaidia kushusha kiwango cha sukari kwenye damu
2. Husaidia kuimarisha afya ya moyo
3. Husaidia kupunguza maumivu ya tumbo la chango kwa wakinamama
4. Huboresha mfumo wa mmeng’enyo wa chakula
5. Husaidia katika kupunguza uzito
6. Husaidia kupunguza uwezekano wa kupata saratani
7. Husaidia kuboresha na kuimarisha mfumo wa kinga mwilini
8. Husaidia kuboresha na kuimarisha afya ya ngozi
?
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula passion
Soma Zaidi...kuhusu vitamini K, wapi tutavipata, ni zipi athari zake na ni zipi kazi zake mwilini.
Soma Zaidi...Post hii itakufundisha madhara ya kuwa na mafuta mengi mwilimi
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula mahindi
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea orodha ya vyakula salama kwa mwenye kisukari
Soma Zaidi...Makala hii inakwenda kukuletea kazi kuu za protini na vyakula vya protini katika miili yetu. Mkala hii itakusaiidia kujuwa namna ya kupangilia lishe yako kiusalama zaidi baada ya kujuwa kazi za protini katika miili yetu.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula viazi mbatata
Soma Zaidi...