Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula samaki
Faida za samaki
1. Samaki wanna virutubisho Kama protini, fati, vitamini D na madini ya iodine
2. Hupunguza hatari ya kupata maradhi ya moyo Kama vile shinikizo la damu na stroke
3. Ni chakula kizuri kwa ukuaji mzuri wa mtoto
4. Ni chakula kizuri kwa afya ya ubongo na ukuaji wake
5. Hulinda mwili dhidi ya maradhi ya kisukari
6. Huzuia pumu kwa watoto
7. Hupunguza misongo ya mawazo
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Somo hili litakwenda kukueleza kuhusu faida za chungwa na chenza mwilini
Soma Zaidi...Posti hii inahusu namna au njia za kuandaa mdalasini kwa ajili ya tiba ya homoni imbalance kwa wanawake.
Soma Zaidi...Mlo kamili ni mkusanyiko kuu wa vyakula mbalimba kwa pamoja huimarisha na kuujenga  mwili wa binadamu na wanyama kwa sababu vinaleta virutubishi vyote vinavyohitajika.  Mkusanyiko wa vyakula vinavyotengeneza mlo kamili Kuna majina ya vyakula
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na Faida ambazo anaweza kupata mwanadamu Kama akila bamia Mara kwa mara. Bamia huliwa Kama tunda au Kama mboga pia na husaidia vitu vingi mwilini.
Soma Zaidi...