Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula tango
Faida za tango
1. Tango Lina virutubisho Kama vile fati, protini, vitamin C na K pia madini ya manganese na magnesium
2. Huondoa kemikali na sumu ndani ya vyakula
3. Husaidia kuipa maji miili yetu
4. Husaidia kupunguza uzito
5. Hushusha kiwango cha sukari mwilini
6. Husaidia katika kupata choo vizuri
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Somo Hili linakwenda kukuletea vyakula vyeny maji kwa wingi na umuhimu wake mwilini
Soma Zaidi...Post hii inakwenda kukupa faida kuu 5 za kula karanga mbichi katika afya ya mwili wako.
Soma Zaidi...Tufaha ni katika matunda adimu na matamu, je unazijuwa faida zake kkiafya?
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea baadhi ya vyakula vyenye vitamini C kwa wingi
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi faida anazozipata mtu anayekula mayai hasa wakati wa kifua kinywa, tunajua wazi kuwa mayai yana kiwango kikubwa cha protini pamoja na hayo kuna faida nyingi za kutumia mayai hasa wakati wa asubuhi kama ifuatavyo.
Soma Zaidi...Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
Soma Zaidi...