image

Faida za kiafya za mbegu za mronge/moringa

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za mbegu za mronge/moringa

 Faida za kiafya za mbegu za mronge (moringa)

1. mbegu za mronge zina virutubisho kama vitamini A, B na C. Pia zina madini kama madini ya calcium, chuma na pia kuna fata kama amino acid.

2. Husaidia katika kupata usingizi mwororo

3. Husaidia katika kuondoa tatizo la kukosa choo

4. Husaidia katika kuthibiti kiwango cha sukari kwenye damu

5. Ni chanzo kikubwa cha madini ya chuma

6. Husaidia katika kuondoa tatizo la kupata maradhi ya anaemia yanayopelekea upungufu wa hewa ya oksijeni mwilini

7. Hupunguza maumivu ya viungo

8. Husaidia katika kuuwa seli za saratani mwilini.

9. Husaidia kuboresha afya ya ngozi

10. husaidia kulinda afya ya moyo na mishipa ya damu.

11. Husaidia katika kulinda afya ya ini





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 1551


Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi     👉2 Kitabu cha Afya     👉3 Kitau cha Fiqh     👉4 Madrasa kiganjani    

Post zifazofanana:-

Faida za mbegu za papai
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za mbegu za papai Soma Zaidi...

Faida za kiafya za kula mbegu za mafenesi
Katia post hii utakwend akujifunza namna ambavyo tunaweza kufaidika kwa kula mbegu za mafenesi mwilini. Fenesi ama jackfruit ni moja katika matunda yanayopatikana katika maeneo ya kitropic. Soma Zaidi...

Faida za kiafya za kula mbegu za maboga mwilini
Katika somo hili utakwenda kujufunza faida za kiafya za kula mbegu za maboga katika mwili wako Soma Zaidi...

Naomba mnielekeze jinsi ya matayarisho ya Mbegu za papai mpaka nianze kuzitumia kama tiba
Mbegu za papai ni katika baadhi ya mbegu ambazo hutumika kama dawa, na tunda lake ni katika matunda yenyevirutubisho vingi sana. Mbegu za papai zinatumka kwa matumizi mengi sana kiafya. Je ungependa kujuwa faida za papai na jinsi ya kuandaa mbegu zake kam Soma Zaidi...

Faida za kiafya za mbegu za mronge/moringa
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za mbegu za mronge/moringa Soma Zaidi...

Faida za kula mbegu za ukwaju
Katika makala hii utakwend akujifunza kuhusu faida za kiafya za kla mbegu za ukwaju. Soma Zaidi...

Faida za kiafya za kula mbegu za nyanya
Katika makala hii utakwenda kuzijuwa faida za kiafya za kula mbegu za nyanya. Makala hii itakufundisha kwa nini sio vyema kutupa mbeguza nyanya Soma Zaidi...

Faida za kiafya za mbegu za papai
Mbegu za papai zina faida nyingi za kiafya ambazo zinaweza kuboresha afya yako kwa njia nyingi. Kutoka kuboresha mmeng'enyo wa chakula hadi kupambana na saratani, mbegu hizi ni chanzo kikubwa cha virutubisho na viambata vya asili Soma Zaidi...

Faida za kiafya za kula mbegu za pipilipi
Katika somohili utakwenda kujifunzafaida za kiafya za kula mbegu za pilipili. Hapa ttunazunumzia pilipili kwaujumla bila kujali ni aina gani ya pilipili. Soma Zaidi...

Faida za mbegu za maparachichi.
Posti hii inahusu zaidi faida za mbegu za maparachichi, kwa kawaida tunajua wazi faida za maparachichi pamoja na faida za maparachichi kuna faida kubwa katika mbegu zake kama tutakavyoona Soma Zaidi...

Faida za mbegu za papai
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za mbegu za papai na umuhimu wake kiafya Soma Zaidi...

Namna ya kuandaa mbegu za parachichi kwa matumizi ya dawa.
Posti hii inahusu zaidi namna ya kuandaa mbegu za maparachichi ili kutumika kama dawa,kwa sababu ya kuwepo kwa tiba kutokana na mbegu hii ni vizuri kujua maandalizi. Soma Zaidi...