Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za mchaichai/lemongrass
Faida za Mchaichai (lemongrass)
? Majani haya hutumika kama mbadala wa majani ya chai. Yana harufu nzuri na rangia ya kuvutia pindi yakitumiwa kama mbadala wa majani ya chai.
1. husaiadia katika kuboresha mfumo wa meng’enyo wa chakula
2. Mchaichai una virutubisho kama vitamini C na A, pia una madini
3. Hutumika kama dawa ya kukosa choo, kujaa kwa gesi na kuvimbiwa
4. Husaidia kutoa sumu mwilini
5. Husaidia katika kudhibiti presha ya damu na kuishusha
6. Husaidia katika kusafisha ini
7. Huboresha afya ya moyo.
8. Husaidia katika uunguzwaji wa fati na mafuta mwilini
9. Huimarisha na kuboresha afya ya ngozi na nywele
10. Husaidia katika kutibu mafua na homa ya mafua
11. Hupunguza maumivu ya chango la kinamama.
?
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula tango
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea baadhi ya vyakula vyenye vitamini C kwa wingi
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea orodha ya vyakula salama kwa mwenye kisukari
Soma Zaidi...Uyoga pia ni katika vyakula vya asili, ijapokuwa upatikanaji wake umekuwa mchache siku hizi. Shukrani ziwaendee wataalamu wa kilimo, kwa sasa tunaweza kuzipata mbegu za uyoga kutoka maabara na kulima uyoga popote pale. Wataalamu wa mimea wanaamini kuwa uy
Soma Zaidi...Post hii itakwenda kukufundisha faida za kiafya za kula asali
Soma Zaidi...Zijuwe dawa za kuongeza nguvu za kiume, na vyakula salama vya kuongeza nguvu za kiume
Soma Zaidi...