Faida za kiafya za peaz/ peas
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula peazi
Faida za kula peazi
1. Lina virutubisho Kama vitamin C,E na K pia madini ya magnesium,chuma na calcium pia fati na protini
2.husaidia kulinda mwili dhidi ya kisukari
3. Hulinda mwili dhidi ya maradhi ya moyo
4. Hulinda mfumo wa mmeng'enyo wa chakula dhidi ya mashambulizi
5. Hulinda afya ya mishipa ya damu
6. Huondoa sumu mwilini
7. Huzuia athari za kemikali mwilini
8. Huboresha afya ya mfumo wa kinga
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Simulizi za Hadithi Audio 👉2 ai web app 👉3 Dua za Mitume na Manabii 👉4 Bongolite - Game zone - Play free game 👉5 Kitabu cha Afya 👉6 Kitau cha Fiqh
Post zinazofanana:
Vyakula vilivyo hatari kwa afya ya meno
Vyakula hivi vinaweza kuwa na hatai kwenye afya ya meno ama kuharibu kabisa meno.
Soma Zaidi...Faida za kiafya za parachichi
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula parachichi
Soma Zaidi...Karanga (groundnuts)
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula karanga
Soma Zaidi...Je! vitu vichachu kama,machungwa twarusiwa kula wagonjwa wa vidonda vya tumbo?
Nashukuru kwa ushauri, Je!
Soma Zaidi...