Faida za kiafya za peaz/ peas
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula peazi
Faida za kula peazi
1. Lina virutubisho Kama vitamin C,E na K pia madini ya magnesium,chuma na calcium pia fati na protini
2.husaidia kulinda mwili dhidi ya kisukari
3. Hulinda mwili dhidi ya maradhi ya moyo
4. Hulinda mfumo wa mmeng'enyo wa chakula dhidi ya mashambulizi
5. Hulinda afya ya mishipa ya damu
6. Huondoa sumu mwilini
7. Huzuia athari za kemikali mwilini
8. Huboresha afya ya mfumo wa kinga
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 kitabu cha Simulizi 👉2 web hosting 👉3 Kitau cha Fiqh 👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉5 ai web app 👉6 Dua za Mitume na Manabii
Post zinazofanana:
VYANZO VYA VYAKULA VYA MADINI NA FAIDA ZAKE
Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
Soma Zaidi...Fahamu vitamini A na kazi zake, vyakula vya vitamini A na athari za upungufu wake
Vitamini A ni katika vitamini fat soluble vitamin akama vile retinol, retinal, retinoic acid na beta-carotene.
Soma Zaidi...Faida za kiafya za kula mahindi
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula mahindi
Soma Zaidi...Vyakula vinavyosaidia kupunguza uzito
Posti hii inahusu vyakula ambavyo vinasaidia kupunguza uzito, ni baadhi ya vyakula ambavyo unaweza kutumia ili kuweza kuweka kwenye hali ya kawaida.
Soma Zaidi...