Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula topetope
Faida za kula topetope
1. Tope tope lina virutubisho Kama vitamin C na B pia madini ya potassium na magnesium
2. Husaidia kulinda mwili dhidi ya pumu
3. Hudhibiti kiwango cha sukari kwenye damu
4. Hufanya moyo kua kwenye afya njema
5. Hushusha presha ya damu
6. Huboresha na kuimarisha afya ya mifupa
7. Husaidia katika kuipa mwili nguvu
8. Hufanya tezi ya thyroid kuwa salama
9. Huzuia matatizo ya ujauzito
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula tunda pera
Soma Zaidi...Somo hili litakwenda kukueleza kuhusu faida za kula zabibu na umuhimu wake kiafya
Soma Zaidi...Utajifunza vyakula vyenye madini kwa wingi, kazi za madini mwilini na athari za upungufu wake
Soma Zaidi...Tangaizi ni katika mimea yenye asili na bara la asia hususan nchi ya China.
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu upungufu wa vitamini C mwilini
Soma Zaidi...Posti hii itakwenda kukupa faida za kula samaki kwenye mwili wako.
Soma Zaidi...Usiwashangae wanaokula lima, kwa hakika kuna faida kubwa kiafya kula limao, je unazijuwa faida hizo
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi faida za majani ya mstafeli,ni majani ambayo utibu magonjwa mbalimbali hasa saratani, kwa hiyo tunapaswa kuyatumia ili tuweze kupata matibabu ya kansa mbalimbali.
Soma Zaidi...