Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula apple/tufaha
Faida za kula epo (tufaha)
1. Tufaha lin virutubisho kama vitamini C, K, A, E, B1, B2 na B6. pia lina madini ya potassium.
2. Husaidia katika kupunguza uzito wa ziada mwilino
3. Husaidia kuboresha na kuimarisha afya ya moyo
4. Hupunguza athari za kisukari
5. Husaidia kuzuia saratani
6. Husaida kupambana na pumu
7. Husaidia kuboresha na kuimarisha afya ya mifupa
8. Hulinda tumbo dhidi ya majeraha kutokana na matumizi ya madawa
9. Husaidia kuimarisha afya ya ubongo
?
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Vyakula hivi vinaweza kuwa na hatai kwenye afya ya meno ama kuharibu kabisa meno.
Soma Zaidi...Kamala hii inakwenda kufundisha vyakuna na vinjwaji salama anavyopaswa kutumia mgonjwa wa vidonda vya tumbo. Pia utajifunza vyakula na vinywaji hatari kwa mgonjwa wa vidonda vya tumbo.
Soma Zaidi...Post hii itakupa elimu kuhusu mfumo wa mmrng'enyobwa chakula unavyo fanyankazi
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za vitamini C mwilini
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kitunguu thaumu
Soma Zaidi...Zitambue aina zote za vyakule na ufanye maamuzi yaliyo kuwa sahihi katika uandaaji wa chakula chako
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu upungufu wa protini na dalili zake
Soma Zaidi...