Posti hii inahusu zaidi faida mbalimbali ambazo anaweza kuzipata mtu anayetumia kachumbari, tunajua wazi kwamba kachumbari ni mchanganyiko wa nyanya, vitunguu maji,kabichi,na pilipili kidogo.
1. Usaidia kwenye mmeng'enyo wa chakula.
Kwa kawaida tunafahamu kwamba kama kuna matatizo kwenye mmeng'enyo wa chakula kwa kutumia kachumbari mara kwa mara kwa hiyo usaidia kurainisha chakula na kusababisha mmeng'enyo kuwa vizuri.
2. Usaidia katika kupunguza uzito.
Kwa kawaida watu wenye tatizo la kuongeza uzito mara kwa mara wakitumia kachumbari uzito upungua ila wanapaswa kuwa makini katika matumizi ya kachumbari wasiweke mafuta bali watumie jinsi ilivyo.
3. Upunguza kuvimbiwa au kuondoa gesi kwenye tumbo.
Kwa kawaida kazi ya kachumbari ni kuhakikisha kwamba kila kitu kinaenda vizuri mwilini kwa kuhakikisha kuwa gesi unaondolewa na kupunguza kuvimba kwa tumbo.
4. Kuongezeka kwa hamu ya kula.
Pia kachumbari usaidia katika kuongeza hamu ya kula kwa sababu watu ambao wana matatizo katika chakula wakipatiwa kachumbari Uweza kuwa na hamu ya kula.
5. Vile vile kachumbari usaidia katika shughuli za ku balence homoni za mwili, kwa sababu kwenye mwili kuna matatizo mbalimbali hasa kwa wanawake kwa hiyo katika matumizi ya kachumbari usababisha homoni kubwa kwenye hali nzuri na ya kawaida.
6. Pia kachumbari usaidia kuondoa uchovu wa mara kwa mara.
Kwa kawaida sababu ya majukumu mbalimbali ya kila siku usababisha kuwepo kwa uchovu wa mara kwa mara ila kwa sababu ya kutumia kachumbari usababisha kuondoa uchovu huo.
7. Kupata usingizi bora.
Kwa watu ambao wana matatizo ya kutopata usingizi ila kwa matumizi ya kachumbari wanaweza kupata usingizi mzuri na mzito kabisa.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi hasara za kitunguu swaumu wakati wa ujauzito.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi kazi ya majani ya mstafeli dhidi ya bakteria na fangasi, pamoja na kutibu saratani mbalimbali na upambana na fangasi na bakteria kama tutakavyoona.
Soma Zaidi...Hapa utajifunza kuhusu kazi za protini mwilini na vyakula vipi vina protini kwa wingi
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula nyanya
Soma Zaidi...Post hii inakwenda kukufundisha utaratibu wa lishe kwa wagonjwa wenye kisukari pamoja na vyakula salamakwao.
Soma Zaidi...Hapa utajifunza vyakula hatari kwa mgonjwa wa kisukari, pia utajifunza vyakula salama anavyotakiwa ale mgonjwa wa kisukari, Pia ujajifunza njia za kujikinga na kisukari
Soma Zaidi...Katika post hii utakwenda kujifunza aina 20 za vitamini. Utajifunza kazu zake mwilini, vyanzo vyake na madhara yanayoweza kutokea kutokana na upungufu wake.
Soma Zaidi...Matunda yenye vitamni C kwa wingi ni machungwa, maembe, ndimu na limao, endelea kusoma
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula chungwa na chenza (tangarine)
Soma Zaidi...