image

Faida za kula karoti

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kula karoti

Faida za karoti

1. karoti ina virutubisho kama sukari, fati, protini, vitamini A, B, K na madini ya potassium.

2. Hupunguza hatari ya kupata saratani

3. Hususha cholesterol

4. Husaidia kupunguza uzito

5. Husaidia kuboresha afya ya macho

6. Karoti ni nzuri kwa afya ya mfumo wa mmeng’enyo wa chakula

7. Husaidia kudhibiti ugonjwa wa kisukari

8. Husaidia kulinda na muimarisha afya ya moyo na mishipa ya moyo

9. Husaidia kuboresha na kuimarisha mfumo wa kinga mwilini

10. Karoti ni nzuri kwa afya ya mifupa





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 1945


Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya     👉2 Madrasa kiganjani     👉3 kitabu cha Simulizi     👉4 Kitau cha Fiqh    

Post zifazofanana:-

Faida za kunywa maji kabla ya kula chochote.
Posti hii inahusu faida za kunywa maji kabla hujula kitu chochote,tunajua kabisa kabla ujala au kunywa chochote sumu nyingi mwilini zinakuwa hazijachanganyikana na chochote kwa hiyo tunapaswa kujua kuwa kuna faida kubwa nyingi za kunywa maji kama ifuatavy Soma Zaidi...

Faida za kiafya za kula Epo ama tufaha
Soma Zaidi...

Vyakula vya vitamin B
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za vyakula vya vitamin B Soma Zaidi...

Vyakula vyenye madini kwa wingi
Somo hili linakwenda kukuletea baadhi ya vyakula vyenye madini kwa wingi Soma Zaidi...

Faida za kula kabichi
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula kabichi Soma Zaidi...

Upungufu wa vitamini C na dalili zake mwilini
makala Soma Zaidi...

Vinywaji vyakula salama kwa mwenye Presha ya kupanda
Je umesha wahi kujiuliza kuwa ni vinywaji vipi mwenye presha ya kupanda anafaha kutumia, Unadhani ni maji, mvinyo wa pombe, chai na kahawa. Bila shaka ungependa kujuwa zaidi kuhusu jambo hili. Makala hii ni kwa ajili yako Soma Zaidi...

Vyakula vya kuongeza nguvu za kiume
Vijuwe vyakula vya kyongeza nguvu za kiume na mambo yanayopunguza nguvu za kiume Soma Zaidi...

Faida za limao au ndimu
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula ndimu au limao Soma Zaidi...

Faida za kiafya za kula Tende
Soma Zaidi...

Faida za kiafya za kula Mayai
Soma Zaidi...

Vijuwe vyakula vinavyoongeza damu kwa haraka
Post hii itakufundisha aina za vyakula ambavyo vinaweza kuongeza damu kwa haraka. Soma Zaidi...