Posti hii inahusu zaidi faida anazozipata mtu anayekula mayai hasa wakati wa kifua kinywa, tunajua wazi kuwa mayai yana kiwango kikubwa cha protini pamoja na hayo kuna faida nyingi za kutumia mayai hasa wakati wa asubuhi kama ifuatavyo.
Faida za kula mayai.
1. Utunza shibe.
Kwa kawaida ukila mayai wakati wa asubuhi kuna faida kubwa ya kupata protini pamoja na kutohisi njaa mapema kwa mfano ukitumia mayai asubuhi unaweza kufika saa sita bila kuhisi njaa.
2. Upunguza uzito.
Kuna wataalamu ambao wanasema kuwa wanaotumia mayai kila siku uzito wao ni wa kawaida na kwa wale wanaopenda kupunguza uzito wanashauriwa kutumia mayai kwa wingi ili waweze kuwa wa kawaida.
3. Hayaongezi uzito.
Kwa kawaida mayai hayana mafuta na ila yana wingi wa protini kwa hiyo sio hatarishi kwenye mwili kwa sababu hayaongezi mafuta yoyote mwilini.
4. Uongeza kiasi cha kukua kwa ubongo.
Kwa wale wanaotumia sana mayai wana kiasi kikubwa cha kukua kwa ubongo na pia wana uwezo wa kuwa na kumbukumbu nzuri hata wakiwa kwenye umri wa uzee.
5. Ulinda macho
Kwa kawaida kwenye macho kunahitajika kiasi cha protini kwa watumiaji wa mayai wana kiwango kikubwa cha kuwa na macho imara pia na kwa wale wanaotumia mayai tangua udogo wao ni mara chache kwa na matatizo ya macho.
6. Usaidia katika kukua
Kwa kawaida na mayai yana kiwango kikubwa cha protini kwa hiyo usaidia katika ukuaji hasa kwa watoto kwa hiyo wazazi wanapaswa kuwapatia watoto mayai angalau mtoto apate mayai matatu kwa wiki.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi juu ya madini ya zinki na faida zake katika mwili wa binadamu,
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za vyakula vya vitamin C
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula kabichi
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula magimbi
Soma Zaidi...Post hii inakwenda kukieleza kuhusu vyakula vya madini na kazi zake mwilini
Soma Zaidi...Homa ya dengue hupatikana sana Afrika, Asia na baadhi ya maeneo ya Caribbean.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi kazi za tunda la mpapai katika kurekebisha homoni.ni tunda ambalo ufanya kazi yake kwa sababu ya kuwepo kwa virutubisho muhimu ndani ya tunda hili.
Soma Zaidi...FAIDA ZA MATUNDA Makala hii inakwenda kukuletea faida za matunda mbalimbali na mboga upatikanaji wake na faida zake kiafya.
Soma Zaidi...