image

Faida za kula mayai

Posti hii inahusu zaidi faida anazozipata mtu anayekula mayai hasa wakati wa kifua kinywa, tunajua wazi kuwa mayai yana kiwango kikubwa cha protini pamoja na hayo kuna faida nyingi za kutumia mayai hasa wakati wa asubuhi kama ifuatavyo.

Faida za kula mayai.

1. Utunza shibe.

Kwa kawaida ukila mayai wakati wa asubuhi kuna faida kubwa ya kupata protini pamoja na kutohisi njaa mapema kwa mfano ukitumia mayai asubuhi unaweza kufika saa sita bila kuhisi njaa.

 

2. Upunguza uzito.

Kuna wataalamu ambao wanasema kuwa wanaotumia mayai kila siku uzito wao ni wa kawaida na kwa wale wanaopenda kupunguza uzito wanashauriwa kutumia mayai kwa wingi ili waweze kuwa wa kawaida.

 

3. Hayaongezi uzito.

Kwa kawaida mayai hayana mafuta na ila yana wingi wa protini kwa hiyo sio hatarishi kwenye mwili kwa sababu hayaongezi mafuta yoyote mwilini.

 

4. Uongeza kiasi cha kukua kwa ubongo.

Kwa wale wanaotumia sana mayai wana kiasi kikubwa cha kukua kwa ubongo na pia wana uwezo wa kuwa na kumbukumbu nzuri hata wakiwa kwenye umri wa uzee.

 

5. Ulinda macho 

Kwa kawaida kwenye macho kunahitajika kiasi cha protini kwa watumiaji wa mayai wana kiwango kikubwa cha kuwa na macho imara pia na kwa wale wanaotumia mayai tangua udogo wao ni mara chache kwa na matatizo ya macho.

 

6. Usaidia katika kukua 

Kwa kawaida na mayai yana kiwango kikubwa cha protini kwa hiyo usaidia katika ukuaji hasa kwa watoto kwa hiyo wazazi wanapaswa kuwapatia watoto mayai angalau mtoto apate mayai matatu kwa wiki.





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 1747


Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi     👉2 Kitabu cha Afya     👉3 Madrasa kiganjani     👉4 Kitau cha Fiqh    

Post zifazofanana:-

Faida za kiafya za kunywa maziwa
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kunywa maziwa Soma Zaidi...

Faida za kiafya za kula Bamia
Soma Zaidi...

Faida za kitunguu thaumu mwilini
Makala hii itakuletea faida za kitunguu thaumu katika afyabyako. Soma Zaidi...

Faida za kiafya za kula nyama
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula nyama Soma Zaidi...

Vyakula kwa wenye matatizo ya macho
Posti hii inahusu zaidi vyakula ambavyo wanapaswa kutumia watu wenye matatizo ya macho,ni vyakula ambavyo uhimalisha mishipa na sehemu nyingine za jicho na kufanya jicho lisiwe na matatizo kwa sababu tunajua wazi kuwa vyakula ni dawa. Soma Zaidi...

VYAKULA VYA FATI, PROTINO NA WANGA
Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote Soma Zaidi...

Chungwa (orange)
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula chungwa/orange Soma Zaidi...

UPUNGUFU WA PROTINI NA FATI
Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote Soma Zaidi...

Vyakula Vya vitamini B, kazi za Vitamini B na dalili za Upungufu wa Vitamini B mwilini
hapa Tutakwenda kuona Vyakula Vya vitamini B, kazi za Vitamini B na dalili za Upungufu wa Vitamini B mwilini Soma Zaidi...

Je miwa ina madhara yoyote?
Umetaja faida za matunda , mimi ninataka kujuwa Je miwa ina madhara yoyote? Soma Zaidi...

Hizi ndio kazi za madini mwilini mwako
Post huu inakwenda kukupa orodha ya madini muhimu kwa ajili ya afya yako. Soma Zaidi...

Tangawizi
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za tangawizi Soma Zaidi...