Somo hiki linakwenda kukueleza faida za kiafya za kula ndizi
Faida za ndizi
1. Ndizi Ni chanzo kizuri cha vitamini C na B6
2. Ndizi Ni nzuri kwa afya ya ngozi
3. Madini ya potassium yaliyopo kwenye ndizi husaidia kuboresha afya ya moyo na presha ya damu
4. Husaidia katika kuboresha na kuimarisha mfumo wa mmeng'enyo wa chakula
5. Ndizi humpatia mlaji nguvu
6. Ndizi Ina virutubisho vingine Kama protini, fati na madini
7.hudhibiti kiwango cha sukari mwilini
8. Huondoa sumu za vyakula mwilini
9.hutumika katika kudhibiti uzito mwilini
10. Husaidia katika kuimarisha afya ya figo
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Matunda yenye vitamni C kwa wingi ni machungwa, maembe, ndimu na limao, endelea kusoma
Soma Zaidi...Posti hii inahusu vyakula ambavyo vinasaidia kupunguza uzito, ni baadhi ya vyakula ambavyo unaweza kutumia ili kuweza kuweka kwenye hali ya kawaida.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa kutumia maharage kwa wingi, maharage ni aina ya chakula ambacho upatikanaji wake ni rahisi na watu wengi hawajui kwa ulaji wa maharage una faida kubwa sana mwilini kwa hiyo tunapaswa kuangalia faida za maharage kama ifua
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula viazi vitamin
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi kazi za tunda la mpapai katika kurekebisha homoni.ni tunda ambalo ufanya kazi yake kwa sababu ya kuwepo kwa virutubisho muhimu ndani ya tunda hili.
Soma Zaidi...Vitamini C kwa wingi hupatikana kwenye machungwa, maembe, mananasi, limao na ndimu
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula topetope/ accustard apple
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kungumanga/nutmeg
Soma Zaidi...