FAIDA ZA KULA PAPAI


image


Posti hii inaonyesha Faida za kula papai.papai Ni tunda na Lina leta afya,nguvu na kuujenga mwili.


     Zifuatazo Ni Faida za kula papai katika mwili wa binadamu.

 

1.lina vitamini C; ambayo husaidia kuboresha na kulinda Kinga ya mwili.

 

2.lin vitamini A; ambayo husaidia afya ya macho, macho kuona vizuri bila shida.

 

3.kupunguza uvimbe ulio sababishwa na Magonjwa au jeraha

.

4.kuboresha mmeng'enyo wa chakula.

 

5.kuua na kuondoa mazalia ya minyoo tumboni.

 

6.husaidia kutibu au Kupunguza maumivu ya vidonda vya tumbo (ulcers) kwasababu ya ulaini wake huenda kulainisha michubuko au mikwaruzo iliyotokea Hadi kupelekea vidonda vya tumbo.

 

7.huboresha Uwezo wa kufikiria.

 

8.huborosha misuli na Neva mwilini.

 

9.kuboresha na kuimarisha Kinga ya mwili.

 

10.husaidia kulainisha choo (constipation)

 

Mwisho;  papai Ni zuri endapo likitumiwa kwa Usafi lakini ukila papai kwa uchafu bila kuosha, bila kunawa mikono, nakuliandaa kwa Usafi hupelekea mtu kupata Tena matatizo Kama Kuhara,kutapika, kichefuchefu na tumbo kuuma.Hivyo basi hakikisha unaandaa papai kwa Usafi na usalama.



Sponsored Posts


  ðŸ‘‰    1 Jifunze fiqh       ðŸ‘‰    2 Mafunzo ya php       ðŸ‘‰    3 Magonjwa na afya       ðŸ‘‰    4 Hadiythi za alif lela u lela       ðŸ‘‰    5 Madrasa kiganjani       ðŸ‘‰    6 Mafunzo ya html kwa kiswahili    


Je! una maswali, mapendekezo ama maoni? tuma ujumbe wa meseji SMS hapo chini ili kuunganishwa na muhusika au bofya hapa

SMS SMS



Post Nyingine


image Dawa za kutibu kiungulia
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu dawa za kutibu kiungulia Soma Zaidi...

image Tatizo la damu kutokufikia tishu baada ya kutokea jeraha kwenye tishu (gangrene)
Posti hii inazungumzia kuhusiana na tatizo la damu kutokufikia tishu baada ya kutokea jeraha kwenye tishu ambao hujulikana Kama gangrene inahusu kifo cha tishu za mwili kutokana na ukosefu wa mtiririko wa damu au maambukizi ya bakteria. Ugonjwa wa gangrene huathiri sehemu za mwisho, ikiwa ni pamoja na vidole vyako vya miguu, vidole na miguu, lakini pia unaweza kutokea kwenye misuli yako na viungo vya ndani. Soma Zaidi...

image Fahamu Ugonjwa wa uti wa mgongo kwa watoto uitwao poliomyelitis
Poliomyelitis ni kuvimba kwa suala la kijivu la uti wa mgongo na wakati mwingine sehemu ya chini ya ubongo Soma Zaidi...

image Namna madonda koo yanavyotokea
Posti hii inahusu namna madonda koo yanavyotokea, ni jinsi na namna Magonjwa haya au Maambukizi yanavyotokea na kuweza kusababisha madhara kwa watu. Soma Zaidi...

image Umuhimu wa asidi iliyokwenye tumbo( kwa kitaalamu huitwa HCL)
Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa asidi iliyo kwenye tumbo kwa kitaalamu huitwa HCL, ni asidi inayofanya kazi nyingi hasa wakati wa kumengenya chakula. Soma Zaidi...

image Umuhimu wa uzazi wa mpango kwa Mama
Posti hii inahusu zaidi faida za uzazi wa mpango kwa akina Mama, tunajua wazi kubwa kuna faida kubwa za uzazi wa mpango kwa akina Mama pindi watumiapo njia hizi kwa uhakika zaidi. Soma Zaidi...

image Roghage/ vyakula vya kambakamba
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za vyakula vya roghage Soma Zaidi...

image Tufanyeje ili kuepuka kuaribika kwa figo?
Posti hii inahusu zaidi njia za kuzuia kuaribika kwa figo, hizi ni njia zinazotumika ili kuweza kupunguza tatizo la kuaribika kwa figo na hasa wale ambao hawajapata tatizo hili wazitumie ili tuone kama tutaweza kupunguza tatizo hili. Soma Zaidi...

image Dalili za Uvimbe kwenye mfuko wa uzazi (uterine fibroid)
Uvimbe kwenye mfuko wa uzazi hukua kutoka kwenye tishu laini za misuli ya uterasi. Fibroids nyingi ambazo zimekuwepo wakati wa ujauzito hupungua au kutoweka baada ya ujauzito, kwani uterasi inarudi kwenye ukubwa wa kawaida. Soma Zaidi...

image Kujiandaa kwa ajili ya kumuona daktari
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu baadhi ya mambo ya kujiandaa kwa ajili ya kumuona daktari Soma Zaidi...