picha

Faida za kula papai

Posti hii inaonyesha Faida za kula papai.papai Ni tunda na Lina leta afya,nguvu na kuujenga mwili.

     Zifuatazo Ni Faida za kula papai katika mwili wa binadamu.

 

1.lina vitamini C; ambayo husaidia kuboresha na kulinda Kinga ya mwili.

 

2.lin vitamini A; ambayo husaidia afya ya macho, macho kuona vizuri bila shida.

 

3.kupunguza uvimbe ulio sababishwa na Magonjwa au jeraha

.

4.kuboresha mmeng'enyo wa chakula.

 

5.kuua na kuondoa mazalia ya minyoo tumboni.

 

6.husaidia kutibu au Kupunguza maumivu ya vidonda vya tumbo (ulcers) kwasababu ya ulaini wake huenda kulainisha michubuko au mikwaruzo iliyotokea Hadi kupelekea vidonda vya tumbo.

 

7.huboresha Uwezo wa kufikiria.

 

8.huborosha misuli na Neva mwilini.

 

9.kuboresha na kuimarisha Kinga ya mwili.

 

10.husaidia kulainisha choo (constipation)

 

Mwisho;  papai Ni zuri endapo likitumiwa kwa Usafi lakini ukila papai kwa uchafu bila kuosha, bila kunawa mikono, nakuliandaa kwa Usafi hupelekea mtu kupata Tena matatizo Kama Kuhara,kutapika, kichefuchefu na tumbo kuuma.Hivyo basi hakikisha unaandaa papai kwa Usafi na usalama.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Vyakula Main: Post File: Download PDF Views 2953

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Simulizi za Hadithi Audio     👉2 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉3 kitabu cha Simulizi     👉4 Kitabu cha Afya     👉5 web hosting     👉6 Kitau cha Fiqh    

Post zinazofanana:

VINYWAJI SALAMA KWA MWENYE KISUKARI

Kuchaguwa vinywaji si jambo rahisi, lakini inabidi iwe hivyo kama una tatizo la kisukari. Je unasumbuka kujuwa vinywaji salama? makala hii ni kwa ajili yako, hapa tutaona vinywaji ambavyo ni salama kwa mwenye kisukari.

Soma Zaidi...
magonjwa na lishe

DARASA LA AFYA MAGOJWA YANAYOHUSIANA NA VYAKULA 1.

Soma Zaidi...
Kazi za virutubisho vya protini mwilini

Somo hili linakwenda kukuletea kazi za virutubisho vya protini mwilini

Soma Zaidi...
VYAKULA VYA VITAMINI

Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote

Soma Zaidi...