Faida za kula papai
Posti hii inaonyesha Faida za kula papai.papai Ni tunda na Lina leta afya,nguvu na kuujenga mwili.
Zifuatazo Ni Faida za kula papai katika mwili wa binadamu.
1.lina vitamini C; ambayo husaidia kuboresha na kulinda Kinga ya mwili.
2.lin vitamini A; ambayo husaidia afya ya macho, macho kuona vizuri bila shida.
3.kupunguza uvimbe ulio sababishwa na Magonjwa au jeraha
.
4.kuboresha mmeng'enyo wa chakula.
5.kuua na kuondoa mazalia ya minyoo tumboni.
6.husaidia kutibu au Kupunguza maumivu ya vidonda vya tumbo (ulcers) kwasababu ya ulaini wake huenda kulainisha michubuko au mikwaruzo iliyotokea Hadi kupelekea vidonda vya tumbo.
7.huboresha Uwezo wa kufikiria.
8.huborosha misuli na Neva mwilini.
9.kuboresha na kuimarisha Kinga ya mwili.
10.husaidia kulainisha choo (constipation)
Mwisho; papai Ni zuri endapo likitumiwa kwa Usafi lakini ukila papai kwa uchafu bila kuosha, bila kunawa mikono, nakuliandaa kwa Usafi hupelekea mtu kupata Tena matatizo Kama Kuhara,kutapika, kichefuchefu na tumbo kuuma.Hivyo basi hakikisha unaandaa papai kwa Usafi na usalama.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Kitabu cha Afya 👉2 Madrasa kiganjani 👉3 Kitau cha Fiqh 👉4 Bongolite - Game zone - Play free game 👉5 ai web app 👉6 Simulizi za Hadithi Audio
Post zinazofanana:
Faida za kiafya za kula biringanya (eggplant)
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula biringanya eggplant)
Soma Zaidi...Faida za kiafya za kula nyama
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula nyama
Soma Zaidi...Faida za mchai chai
Posti hii inahusu zaidi faida za mchai chai, ni mmea ambao upandwa na watu kama maua, dawa au kikolezo cha chai na Kuna wengine kabisa wanatumia kama sehemu Mojawapo ya dawa kwa hiyo tutaona faida za mmea huu wa mchai chai.
Soma Zaidi...Faida za kiafya za kula fenesi
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula fenesi
Soma Zaidi...Vyakula vya vitamin B
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za vyakula vya vitamin B
Soma Zaidi...VYAKULA HATARI KWA VIDONDA VYA TUMBO
Hivi ni vyakula hatari kwa vidonda vya tumbo. mwenye vidonda vya tumbo hatakiwi kula vyakula hivi
Soma Zaidi...