image

Faida za kula parachichi

Somo hili litakwenda kukueleza na kukuelimisha kuhusu umuhimu wa kula parachichi kiafya

Faida za kula parachichi

1. parachichi Lina virutubisho Kama vile wanga, vitamini C, E, K na B pia Lina madini ya magnesium na potassium

2. Husaidia kuimarisha afya ya moyo

3. Huzuia kupata ugonjwa wa mifupa kuwa dhaifu

4. Huzuia ama kupunguza kupata ugonjwa wa saratani

5. Huboresha afya ya watoto wadogo na ukuaji wao

6. Hupunguza misongo ya mawazo

7. Hupunguza tatizo la kutopata choo kikubwa

8. Husaidia kuondoa sumu za vyakula na kemikali mwilini

9. Husaidia kupunguza maambukizi ya baadhi ya bakteria fangasi na virusi

10. Husaidia kutokupata maradhi ya kisukari





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 1764


Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh     👉2 kitabu cha Simulizi     👉3 Kitabu cha Afya     👉4 Madrasa kiganjani    

Post zifazofanana:-

matunda
Soma Zaidi...

Faida za kitunguu thaumu mwilini
Makala hii itakuletea faida za kitunguu thaumu katika afyabyako. Soma Zaidi...

Faida za kula passion
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula passion Soma Zaidi...

Sababu zinazoweza kusababisha kukosa choo (kinyesi)
Kukosa choo aina ya kinyesi ni kutoweza kudhibiti kinyesi, hivyo kusababisha kinyesi kuvuja bila kutarajiwa kutoka kwenye puru. Pia huitwa kutoweza kudhibiti utumbo, Upungufu wa kinyesi hutoka kwa kuvuja mara kwa mara kwa kinyesi huku ukipitisha gesi had Soma Zaidi...

Vyakula vya kuongeza maziwa kwa mama anayenyonyesha
Post hii itakwenda kukufundisha vyakula ambavyo ni vizuri kwa mwanamke anayenyonyesha ili kumsaidia kupata maziwa kwa wingi. Soma Zaidi...

Faida za muarobaini
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za muarobaini Soma Zaidi...

HOMA YA DENGUE, DALILI ZAKE, TIBA YAKE, CHANGO YAKE NA INA SABABISHWA (AMBUKIZWA) NA MBU GANI
Homa ya dengue hupatikana sana Afrika, Asia na baadhi ya maeneo ya Caribbean. Soma Zaidi...

Ni katika kiungo kipi cha mfumo wa mmeng'enyo wa chakula virutubisho hufonzwa?
Post hii itakupa elimu kuhusu mfumo wa mmrng'enyobwa chakula unavyo fanyankazi Soma Zaidi...

Faida za kula Zaituni
Matunda ya zamani, matunda ya asili, Zaituni tunda lipendezalo, zijuwe faida zake leo Soma Zaidi...

Kazi za vitamini B na vyakula vya vitamini B
Makala hii inakwenda kukuletea kazi za vitamini B, pia tutajwenda kuona makundi ya vitamini B na kazi za kila kundi. Pia makala hii inakwenda kukufundisha vyanzo na vyakula vya vitamini B. Utajifunza pia kazi kuu za vitamini B kwa ujumla wake. Soma Zaidi...

Faida za kula maini
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula maini Soma Zaidi...

Faida za kiafya za kula samaki
Posti hii itakwenda kukupa faida za kula samaki kwenye mwili wako. Soma Zaidi...