Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula pilipili
Faida za kula pilipili
1. Huondoa sumu na kemikali mbaya mwilini
2. Hupunguza uwepo wa uvimbe mwilini
3. Huboresha afya ya ubongo
4. Hudhibiti kiwango cha sukari mwilini
5. Hupunguza cholesterol mbaya mwilini
6. Husaidia katika kupambana na ugonjwa wa saratani
7. Husaidia mwili kufyonza vurutubishv vya vyakula
8. Hupunguza maumivu
9. Hupunguza hamu ya kula
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Post hii itakufundisha aina za vyakula ambavyo vinaweza kuongeza damu kwa haraka.
Soma Zaidi...Je umesha wahi kujiuliza kuwa ni vinywaji vipi mwenye presha ya kupanda anafaha kutumia, Unadhani ni maji, mvinyo wa pombe, chai na kahawa. Bila shaka ungependa kujuwa zaidi kuhusu jambo hili. Makala hii ni kwa ajili yako
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula karanga
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea faida za kiafya za kula korosho
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za vyakula vya vitamin E
Soma Zaidi...Palachichi lina virutubisho vingi na vitamini, kula palachichi uiokoe afya yako
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula maboga
Soma Zaidi...Matunda ya zamani, matunda ya asili, Zaituni tunda lipendezalo, zijuwe faida zake leo
Soma Zaidi...