picha

Faida za kusafisha vidonda.

Posti hii inahusu zaidi faida za kusafisha vidonda, ni faida ambazo Mgonjwa mwenye vidonge uzipata kama ifuatavyo.

Faida za kusafisha vidonda.

1. Kusafisha vidonda usaidia kuzuia wadudu mbalimbali ambao huwa ni nyemelezi kwenye vidonda kwa sababu kama wadudu wakishaingia kwenye kidonda uweza kuleta uaribifu mkubwa kwenye kidonda chenyewe.

 

2. Kusafisha kidonda usaidia kuondoa unyevunyevu nyevu kwenye kidonda kwa sababu unyenyekevu ndio usababisha maambukizi zaidi kwenye video fa kwa kusafisha tunaondoa unyenyekevu kwenye vidonda.

 

3. Kusafisha kidonda usababisha kuzuia kuvuja kwa kidonda kwa sababu pengine panakuwepo damu kwenye kidonda unaposafisha na kuweka dawa unazuia kuvuja kwenye kidonda.

 

4. Kusafisha kidonda umsaidia Mgonjwa aweze kujisikia vizuri na huru kwa sababu kidonda kinakuwa na harufu nzuri na pia mgonjwa anaweza kujisikia vizuri na kuweza kushirikiana na Watu vizuri.

 

5.Kusafisha vidonda umsaidia Mgonjwa kuweza kupona haraka kwa sababu wadudu waharibifu wote iondolewa na ngozi ya juu uweza kurudi kwa haraka kwa hiyo Mgonjwa anapona haraka sana.

 

6. Kwa hiyo tunapaswa kujua na kuelewa zaidi faida za kusafisha vidonda na Watu wale wenye vidonda vya mda mrefu mnapaswa kuvipeleka hospitalini ili kuweza kuvisafisha na ili viweze kupona  haraka na wale ambao wanakataa kupeleka vidonda hospitalini na wanakaa navyo nyumbani wajitahidi kuvipeleka hospitalini ili watibiwe

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 2022/02/18/Friday - 02:14:11 pm Topic: Huduma Main: Afya File: Download PDF Views 1962

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 ai web app    👉2 kitabu cha Simulizi    👉3 Kitabu cha Afya    👉4 Dua za Mitume na Manabii    👉5 Kitau cha Fiqh    👉6 Madrasa kiganjani   

Post zinazofanana:

Huduma ya Kwanza kwa mtu aliyepatwa na joto kubwa mwilini

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu huduma ya Kwanza kwa mtu aliyepatwa na joto kubwa mwilini

Soma Zaidi...
Kwanini mdomo unakuwa mchungu

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za mdomo kuwa mchungu

Soma Zaidi...
Utaratibu wa maisha kwa aliye athirika

Somo hili linakwenda kukuletea utaratibu wa maisha kwa aliye athirika

Soma Zaidi...
Vipi kuhusu kibofu kukaza sana na unapokula unahisi kama tumbo kujaa zaidi je hii nidall yamimba?

Dalili za mimba zinaweza kuwa tata sana kuzijua mpaka upate vipimo. Kwa mfano unaweza kupatwa na maumivu yakibofu. Je unadhani nayo ni dalili ya mimba?

Soma Zaidi...
Kazi ya chanjo ya Surua

Posti hii inahusu zaidi kazi ya chanjo ya Surua kwa watoto, ni Aina ya chanjo ambayo utolewa kwa watoto na kufanya kazi mbalimbali mwilini ambazo ni kumkinga mtoto asipatwe na magonjwa.

Soma Zaidi...
Zijue sababu za kupungukiwa damu mwilini

Posti hii inahusu zaidi tatizo la kupungukiwa damu mwilini, ni ugonjwa unaotokana sana hasa kwa watoto wadogo chini ya miaka mitano ingawa na kwa watu wazima.

Soma Zaidi...
Chanjo zinazotolewa nchini Tanzania

Posti hii inahusu zaidi chanjo ambazo utolewa nchini Tanzania, ni chanjo ambazo uzuia Magonjwa ambayo yako katika sehemu mbalimbali za nchi.

Soma Zaidi...
Kwanini mtu alie ng'atwa na nyoka hairuhusiwi kumpa pombe?

Swali languKwanini mtu alie ng'atwa na nyoka hairuhusiwi kumpa pombe?

Soma Zaidi...
Kazi ya chanjo ya kifua kikuu

Posti hii inahusu kazi ya chanjo ya kifua kikuu kwa kitaalamu huitwa BCG. Ni chanjo ambayo uzuia kifua kikuu na ukoma.

Soma Zaidi...
Upungufu wa protin

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu madhara ya upungufu wa protini

Soma Zaidi...