image

Faida za kusafisha vidonda.

Posti hii inahusu zaidi faida za kusafisha vidonda, ni faida ambazo Mgonjwa mwenye vidonge uzipata kama ifuatavyo.

Faida za kusafisha vidonda.

1. Kusafisha vidonda usaidia kuzuia wadudu mbalimbali ambao huwa ni nyemelezi kwenye vidonda kwa sababu kama wadudu wakishaingia kwenye kidonda uweza kuleta uaribifu mkubwa kwenye kidonda chenyewe.

 

2. Kusafisha kidonda usaidia kuondoa unyevunyevu nyevu kwenye kidonda kwa sababu unyenyekevu ndio usababisha maambukizi zaidi kwenye video fa kwa kusafisha tunaondoa unyenyekevu kwenye vidonda.

 

3. Kusafisha kidonda usababisha kuzuia kuvuja kwa kidonda kwa sababu pengine panakuwepo damu kwenye kidonda unaposafisha na kuweka dawa unazuia kuvuja kwenye kidonda.

 

4. Kusafisha kidonda umsaidia Mgonjwa aweze kujisikia vizuri na huru kwa sababu kidonda kinakuwa na harufu nzuri na pia mgonjwa anaweza kujisikia vizuri na kuweza kushirikiana na Watu vizuri.

 

5.Kusafisha vidonda umsaidia Mgonjwa kuweza kupona haraka kwa sababu wadudu waharibifu wote iondolewa na ngozi ya juu uweza kurudi kwa haraka kwa hiyo Mgonjwa anapona haraka sana.

 

6. Kwa hiyo tunapaswa kujua na kuelewa zaidi faida za kusafisha vidonda na Watu wale wenye vidonda vya mda mrefu mnapaswa kuvipeleka hospitalini ili kuweza kuvisafisha na ili viweze kupona  haraka na wale ambao wanakataa kupeleka vidonda hospitalini na wanakaa navyo nyumbani wajitahidi kuvipeleka hospitalini ili watibiwe





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 1131


Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani     👉2 Kitau cha Fiqh     👉3 kitabu cha Simulizi     👉4 Kitabu cha Afya    

Post zifazofanana:-

Matokeo ya maambukizi kwenye milija na ovari
Posti hii inahusu zaidi matokeo ya maambukizi kwenye milija na ovari, ni matokeo apatayo mtu mwenye maambukizi kwenye milija na ovari. Soma Zaidi...

Huduma ya kwanza kwa mwenye jeraha linalotoa damu
Posti inahusu huduma ya kwanza kwa mwenye jeraha linalotoa damu.huduma ya kwanza Ni kumsaidia mtu alie pata jeraha au ajali kabla hajamwona dactari au kufika hospitalinia. Soma Zaidi...

Aina mbalimbali za maumivu ya mwili.
Posti hii inahusu zaidi aina mbalimbali ya maumivu ya mwili, Maumivu ya mwili utokea kwa aina mbalimbali kama ifuatavyo. Soma Zaidi...

Utaratibu wa lishe kwa wazee
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu utaratibu wa lishe kwa wazee Soma Zaidi...

Ratiba ya chanjo ya kuzuia Nimonia
Posti hii inahusu zaidi ratiba ya chanjo ya kuzuia Nimonia, hii ni chanjo inayozuia hasa hasa Magonjwa ya mfumo wa hewa kwa hiyo nayo upewa watoto wenye umri chini ya miaka mitano. Soma Zaidi...

Umuhimu wa kupumzika kiafya
Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa kupumzika kiafya, kwa kawaida mwili na viungo vingine vya mwili uweza kufanya kazi zaidi pale mtu akiwa amepumzika. Soma Zaidi...

Fahamu kuhusu fati na mafuta na kazi zake mwilini
Hata kama mtu atakuambbia usile vyakula yenye mafuta bado itahitajika kula tu. Kuna mafuta na fati je unajuwa utofauti wao. Ni zipi kazi zao mwilini? Endelea na makala hii Soma Zaidi...

Madhara ya kunywa pombe kiafya
Posti hii inahusu zaidi madhara ya kunywa pombe kiafya, ni madhara ambayo utokea kwa watu wanaokumywa pombe kwa kupita kiasi kwa hiyo wanapaswa kupunguza kunywa pombe baada ya kujua madhara yake. Soma Zaidi...

Je, utamsaidia vipi mtu aliyeumwa na nyuki?
Posti hii inazungumzia kuhusiana na kumsaidia mwenye aliyeumwa na nyuki.nyuki na wadudu ambao wakikushambulia Sana na ukikosa msaada unaweza kufa au kuwa katika Hali mbaya. Soma Zaidi...

Huduma ya Kwanza kwa mtu aliyepaliwa
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu huduma ya Kwanza kwa mtu aliyepaliwa Soma Zaidi...

Namna ya kumsaidia mtoto mwenye degedege
Degedege ni ugonjwa unaoshambulia sana watoto chini ya miaka mitano,na uwaletea matatizo mengi pamoja na kuwepo kwa ulemavu na vifo vingi vinavyosababishwa na ugonjwa huu. Soma Zaidi...

Fahamu kuhusu madhara ya uzito mkubwa
Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea kwa mtu mwenye uzito mkubwa,kwa kawaida ili mtu aweze kuwa na uzito wa kawaida ni vizuri na kiafya kupima urefu ukilinganisha na uzito wa mtu. Soma Zaidi...