Menu



Faida za limao au ndimu

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula ndimu au limao

 

6. Faida za limao ama ndimu na limao

1. hupunguza hatari ya kupata ugonjwa wa stroke yaani kiharusi unaopelekea kupapapaizi

2. Kushusha presha ya damu

3. Huzuia kupata saratani

4. Husaidia kuboresha afya ya ngozi

5. Huzuia kuata pumu

6. Husaidi katika ufyonzwaji wa madini ya chuma

7. Huboresha na kuimarisha mfumo wa kinga

8. Husaidia katika kupunguza uzito

9. Ni chanzo kizauri cha vitamini C

10. Lina virutubisho kama vitamini C, madini ya chuma, potassium, phosphorus na manganessium

11. Hilinda mwili dhidi ya maradhi ya kiseyeye

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass

Nyuma Endelea

Ndio     Hapana     Save post
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Vyakula Main: Post File: Download PDF Views 2493

Share On:

Facebook WhatsApp

Post zinazofanana:

Faida za kula tikiti

Ukubwa wa tikiti unasadifu yaliyopo, kwani kuna fgaida akubwa sana za kiafya katika kula tikiti

Soma Zaidi...
Ulaji wa protini kupitiliza

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu athari za ulaji wa protini kupitiliza

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula passion

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula passion

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula topetope/ accustard apple

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula topetope/ accustard apple

Soma Zaidi...
VYANZO VYA VYAKULA VYA FATI, PROTINO NA WANGA NA FAIDA ZAKE

Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula kunazi/ lote tree

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula kunazi/ lotetree

Soma Zaidi...
Faida za vitamin C mwilini

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za vitamini C mwilini

Soma Zaidi...